Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watakuambia walikuwa wanapigania S.A na Uganda [emoji23][emoji23][emoji23]
sasa mnapigania watu vita na hamujengi nchi yenu hawa watu wamezoea kutubeba ufala sana hzo minerals zote wako nazo znaweza geuza tz south Africa chini ya miaka tano nataka anijibu vizuri hyo story ya kutushow ati walikuwa wanapigania watu vita ndio maana hawajadevelop hyo c jibu i want an answer
 
Tuko busy kujenga nchi sio kuitangazia miji ya wenzetu uozo kufanya hivyo tutakua tunaiga culture ya kenya. Culture yetu ni kusaidiana na wenzetu na ndio maana tuliwaruhusu mkawa mnaongoza uuzaji wa Tanzanite kuwanyamazia mnavyotangaza vya kwetu kuwa ni vya kwenu coz tunajua hakuna marefu yasio na ncha
THIS TIME WAKACHONGE TANZANITE YAO KWA MIAMBA,
YA MERERANI WASAHAU WATAUZA KIWANDA
 
Hahaha....wasee wa "employment "
20181123_131026.jpeg
 
sasa mnapigania watu vita na hamujengi nchi yenu hawa watu wamezoea kutubeba ufala sana hzo minerals zote wako nazo znaweza geuza tz south Africa chini ya miaka tano nataka anijibu vizuri hyo story ya kutushow ati walikuwa wanapigania watu vita ndio maana hawajadevelop hyo c jibu i want an answer
MMESAHAU MLIVYOWAFATA ALSHABABU KITU WAMEWAFANYA HAMRUDII TENA.
 
Hujui history wewe kasome ujifunze anzia hapo uganda tu wala usiende mbali 😂😂😂😂 ndio utafahamu tanzania ilitumia nini na nini kuzikomboa nchi za africa, mwalim nyerere hakua mchoyo hakua mbinafsi ndio maana alifanikiwa sana kuzikomboa nchi za africa

Tanzania ndio kwanza imeanza kutumia resources zake ipasavyo so tegemea mazuri zaidi ya unayoyaona leo na bahat nzuri mumekutana na fundi uncle magu👏👏

Uzuri wa dr ndii anawaambia ukweli ila hamuutaki kila anachowaambia ndicho munachokutana nacho 😁😁😁😁
historia ni ww kupigania watu vita haimanishi hamujengi nchi yenu nataka jibu ctaki history mbna hamuko develop kama south africa with all your mineral wealth history peleka class
 
Taarifa ya total wealth ndio ishakua GDP leo nimecheka sana😂😂😂👏👏👏👏
kwa hyo total wealth MBNA daresalaam haijashinda nairobi huwa mnasema dar ndio largest city in east africa in terms of population dar iko hadi na port na ni coastal city mbona hamuko kwa hyo list tujibu hyo kwanza ctaki history
 
Hajajibu hii

Ameniletea story nyingi za history ni kama nko history class badala anijibu sasa mkipigania watu vita hamujengi nchi yenu amezoea kutubeba ujinga hapa kazi tu ni kufollow David ndii Twitter na kuona news za ntv KTN na citizen ndio apate point ya kupost jamii forum
 
MMESAHAU MLIVYOWAFATA ALSHABABU KITU WAMEWAFANYA HAMRUDII TENA.
kdf imefanya kazi nzuri sanaa ndio maana leo Somalia iko na stable government FYI there is no war that bleeds one side nyinyi vle mlifurusha idi amin hakuna masoldier wa tz walikufa??? kdf is in somalia to stay
 
kwa hyo total wealth MBNA daresalaam haijashinda nairobi huwa mnasema dar ndio largest city in east africa in terms of population dar iko hadi na port na ni coastal city mbona hamuko kwa hyo list tujibu hyo kwanza ctaki history

Acha kupoteza muda kuuliza swali lenye jibu lililopo wazi. Dar ni commercial city n mbuga zipo Arusha, Manyara, Mara, Mikoa ya kusini, Morogoro, Kilimanjaro, Iringa, n.k...
Nairobi ni commercial city, mbuga ya wanyama na Capital city. Na ndio maana unemployment % ni kubwa coz mefocus sana sehemu moja thats why zaidi ya 70% ya GDP yenu imetoka Nairobi, only arrogant people will be proud for that
 
kdf imefanya kazi nzuri sanaa ndio maana leo Somalia iko na stable government FYI there is no war that bleeds one side nyinyi vle mlifurusha idi amin hakuna masoldier wa tz walikufa??? kdf is in somalia to stay

Wewee... Somalia hamjaisaidia peke yenu. kuna kambi za majeshi ya wazungu kenya acha kujisifia. Somalia wanavyojua wamesaidiwa na USA. Wazungu wanawapa mafunzo ya kijeshi na kuwatuma mkapigane somalia, hawana haja ya kutumia majeshi yao kipuuzi. Yape mbinu hayo majinga yakapigane
 
kdf imefanya kazi nzuri sanaa ndio maana leo Somalia iko na stable government FYI there is no war that bleeds one side nyinyi vle mlifurusha idi amin hakuna masoldier wa tz walikufa??? kdf is in somalia to stay
Why Al-Shabaab targets Kenya
Al-Shabaab’s current – though shrunken – stronghold is in southern Somalia. The geographic proximity of southern Somalia to targets in Kenya makes it easier to plan and launch terrorist attacks. The terror group has attacked not only Nairobi, but Mandera and Garissa in the north-east, as well as Kenya’s tourist-filled coastline

Following the deadly attack on Kenya's Garissa University College by Al-Shabaab, that killed 147 people in April last year, the government upped its counter-terror operation.

After the attacks, President Uhuru Kenyatta faced mounting criticism over his government's failure to tackle a growing domestic terror threat and vowed to take harsh measures against the Islamic militants, including the closure of the Dadaab camp, and an uptick in surveillance of Somali communities in Nairobi.



WALIWANYOOSHA
 
sasa mnapigania watu vita na hamujengi nchi yenu hawa watu wamezoea kutubeba ufala sana hzo minerals zote wako nazo znaweza geuza tz south Africa chini ya miaka tano nataka anijibu vizuri hyo story ya kutushow ati walikuwa wanapigania watu vita ndio maana hawajadevelop hyo c jibu i want an answer
Ndio tumeanza kujenga nchi just 10yrs munalia mukilia😂😂😂 alaf bahat mbaya sasa mumekutana na fundi magu bado ana 7 good years👏👏👏👏👏
 
Back
Top Bottom