petro matei
JF-Expert Member
- May 11, 2014
- 812
- 949
Merry Christmas ya nini saa ii tunaelekea katikati ya mwaka?
Budget ya tanzania haija fika 29 bn ..uongoAcha uongo wewe kilaza angalia apo budjet yenu na tafta uone budget yetu
Danganya waliojua
Tanzania 29.7trilion
Kenya 33 trilion
Na ikumbukwe kenya kuna mafisadi wakutosha2
Soma hapo😀😀😀😀Budget ya tanzania haija fika 29 bn ..uongo
Fanya convertion ....budget yenyu 29.5 trillion tanzanian shillings ...covert to dollers ..divide by 2235.80 ...inakua 13 billion ...wajinga ...mnataka kudanganya nani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kenya 26 billion ....kazi ni ku cook values hapa ...Kwikwikwikwikwi. Yaani dogo wa kenya unaumia sana kuona TZ inawazidi.
32 trillion my friend hahahahhahahah 2017 hiiiFanya convertion ....budget yenyu 29.5 trillion tanzanian shillings ...covert to dollers ..divide by 2235.80 ...inakua 13 billion ...wajinga ...mnataka kudanganya nani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kenya 26 billion ....kazi ni ku cook values hapa ...
Sawa basi ..convert to dollars ....divide na 2235.80 ..inakua nini[emoji23][emoji23]14 billion ...na jamaa anasema ati 29 billion dollars ...wajinga32 trillion my friend hahahahhahahah 2017 hiii
https://www.google.com/url?sa=t&sou...gg7MAU&usg=AFQjCNH0-g2jnSgDPkP2QKFX1jEhYr0XSw
hahahaha... awa wasee ni makalulu... awajui kama pesa yao haina value. tukiwatolea facts na links ata za cnn na dailymail uk. wanasema ni sisi ndio tumeandikaFanya convertion ....budget yenyu 29.5 trillion tanzanian shillings ...covert to dollers ..divide by 2235.80 ...inakua 13 billion ...wajinga ...mnataka kudanganya nani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kenya 26 billion ....kazi ni ku cook values hapa ...
Unathani hatujui ku google ...convert from your useless currency to dollars and see the difference32 trillion my friend hahahahhahahah 2017 hiii
https://www.google.com/url?sa=t&sou...gg7MAU&usg=AFQjCNH0-g2jnSgDPkP2QKFX1jEhYr0XSw
Kwanza umefungua link na kusoma hahahhahahaaha wacha pupa nimekuekea link ufungue usomeUnathani hatujui ku google ...convert from your useless currency to dollars and see the difference
Haina value lakini ndio inakupelekeni mchakamchaka hahahahahha yani kwenye economy growth tanzania hamutaishika tena hio sahau kabisa sisi tuna 7.2 nyie bado muna 5.9 na bado hata haijazidi kwenu mm nawaambieni mwaka huu mbayahahahaha... awa wasee ni makalulu... awajui kama pesa yao haina value. tukiwatolea facts na links ata za cnn na dailymail uk. wanasema ni sisi ndio tumeandika
Convert uje hakuna mtu amekukataza ndio maama Tanzania ya 2017 inakusumbua ubongo na huu ndio mwanzo tu bado ngoja tuone 2 yrs inayokuja hehhehhehe tusijekimbiana humu ndanina izi dough zangu za Kenya nikienda Bongo nizi convert, mi ni billionare
Sawa ...32trillion divided by 2235.80 ni 14 billion dollars ..kenya ...2.6 trillion divided by 101 ni 26 billion ....fanya hesabu fala ...Kwanza umefungua link na kusoma hahahhahahaaha wacha pupa nimekuekea link ufungue usome
thibitisha.....mzee wa iphone7 dunia nzima unamiliki peke yako