Sorcerer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 1,694
- 2,482
dahhh kwel nairobi kuna mbuz tyu maaana hapa naona magari yote ya miaka 20 naomba kima aliye-post hiii picha aeleze vizuri hiz gar mbovu zinatoka matengenezo au ndo zinaenda afu............wenu wamekalia kula mirungi tyyu gari mbovu zitapitaje kwa barabaraWe umefika Nairobi?? Ama unadhani Nairobi ni TzTz Hakuna Jam. Fika jiji kuu ndio uone Magari. Nairobi ikiamua kupeleka magari zote Tz barabara zinajaa.
View attachment 929280View attachment 929281





