Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Uchawi wenu international...yani nchi nzima ni wachawi
mwambie aliyeleta hizzo data atuonyeshe source ya data zake, kazipika tu huyo, hata mimi naweza kutengeneza hivyo vistatistics au hatakama hajazipika basi source yake ni unreliable, ni kama ile source mliyokuwa mnaleta kuwa eti kenya in 40 million internet users
 
mwambie aliyeleta hizzo data atuonyeshe source ya data zake, kazipika tu huyo, hata mimi naweza kutengeneza hivyo vistatistics au hatakama hajazipika basi source yake ni unreliable, ni kama ile source mliyokuwa mnaleta kuwa eti kenya in 40 million internet users
Kazipika wapi na ilhali wachawi wenu wamefungua matawi kenya nzima...yani international[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji382] [emoji382] [emoji382] [emoji382]
 
Mganga kutoka tanzania..mara natibu kazi,mapenzi,kuwa tajiri...mazee kenya nzima hukosani na ilani km hz...

Alafu siku hz wame upgrade...huzungusha vikaratasi vyao hadi cbd...kisha hvo vikaratasi huzungushwa na watoto mazee...

Yani hawa jamaa hutoa watoto kwao kuja kuomba na kuzungusha vikaratasi vya uganga
they had to upgrade coz Kplc waliondoa zile posts za miti na ku-replace na concrete. so sio rahisi kuenda kudungilia jibao na msumari hapo kwa concrete.
 
Kazipika wapi na ilhali wachawi wenu wamefungua matawi kenya nzima...yani international[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji382] [emoji382] [emoji382] [emoji382]
Wewe wasema, halafu hujui kuwa kuna wachawi na waganga wa kienyeji, sasa sijui unarefer kwa wachawi wanaopaa usiku au maana inaonekana unawajua sana au mwenzetu mchawi?
 
they had to upgrade coz Kplc waliondoa zile posts za miti na ku-replace na concrete. so sio rahisi kuenda kudungilia jibao na msumari hapo kwa concrete.
Duh!!hapo umesema kwel...kisha watoto wadogo sana mtu wangu...wanadhulumu sana watoto hawa jamaa..kisha hushinda wa kisema wao ni wakarimu
 
Wewe wasema, halafu hujui kuwa kuna wachawi na waganga wa kienyeji, sasa sijui unarefer kwa wachawi wanaopaa usiku au maana inaonekana unawajua sana au mwenzetu mchawi?
Hayo majina tu...tangu lini mtu kutibiwa kupata kazi,kuwa tajiri,mapenzi endi mke au mume azidishe mapenzi...
Duh!!yaonyesha basi wabongo wote mwaamini ushirikina...yani wauita uganga...
Wachawi nyinyi
 
Nyuma katika nini hasa? mnalo jengo kama hilo mombasa au kisumu, kama mnalo nitag
Jengo si kitu...hta mtu binafsi anaeza jenga huo upuuzi...estates ziko wapi...

Duh!!!nimsahau..out of dar hakuna dollar millionaires
 
Hayo majina tu...tangu lini mtu kutibiwa kupata kazi,kuwa tajiri,mapenzi endi mke au mume azidishe mapenzi...
Duh!!yaonyesha basi wabongo wote mwaamini ushirikina...yani wauita uganga...
Wachawi nyinyi
mchawi mwenyewe, mimi ni devout christian na mambo ya hivyo siamini kabisaa
 
mchawi mwenyewe, mimi ni devout christian na mambo ya hivyo siamini kabisaa
Basi mbna una support..eti hao ni waganga wa kienyeji...!!![emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji382] [emoji382] [emoji382]
 
mwambie aliyeleta hizzo data atuonyeshe source ya data zake, kazipika tu huyo, hata mimi naweza kutengeneza hivyo vistatistics au hatakama hajazipika basi source yake ni unreliable, ni kama ile source mliyokuwa mnaleta kuwa eti kenya in 40 million internet users
Tengeza zako ulete we are waiting.
 
Back
Top Bottom