Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hapa hapa mjini Dsm
20181022_094301.jpeg
 
Heheeeee!!hyo ni kwel..ju umekuta mi ni moto sigusiki...maswali yangu yenyewe mumeshindwa kuyajibu
wewe wasema. Unajua kuna kitu kimoja huwa ninajivunia sana kuhusu utanzania wangu, hatujiuzi wala hatujipromote, we rock, we always do, so kama sitaki kubishana na wewe si kwamba rti wewe ni moto na nieshindwa kujibu maswali yako, ni kwamba sina haja ya kuongea vitu vile vile na kuendelea kurudia kwa mtu ambaye haelewi
 
Nifindishe
acha utani, mimi sitrain beauties kama wewe, I have a different job comrade, ask your wife, she might know about it, if at all she knows anything about "make up", that coast girl you posted is wearing make up so It got me thinking that you don't know what you are talking about
 
wewe wasema. Unajua kuna kitu kimoja huwa ninajivunia sana kuhusu utanzania wangu, hatujiuzi wala hatujipromote, we rock, we always do, so kama sitaki kubishana na wewe si kwamba rti wewe ni moto na nieshindwa kujibu maswali yako, ni kwamba sina haja ya kuongea vitu vile vile na kuendelea kurudia kwa mtu ambaye haelewi
Duh!!!yani kupeana facts siku hz ni kitoelewa...anyway endelea mood zako za kawaida
 
Sasa NBO utajenga daraja ya kazi gani? Kuvuka mchanga ama?.Sasa mtu anaishi Kigoma na Jinja atasaidika aje na hizo daraja?. Hizi daraja zenyu ni useless ju ni too expensive yet only a few would use them. Si mkue kama kenya, develop the whole nation not your main cities.View attachment 907284View attachment 907285View attachment 907286View attachment 907287View attachment 907288View attachment 907289
Kenya siku hizi kila town iko na overpass. Hats my home village of Chavakali ina overpass.
 
Back
Top Bottom