Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

don't freak out, nimekuambia unionyeshe hilo bonge la slum, nionyeshe, naona unaniletea bla bla bla tu.
Siez rudia picha kw ma taira km nyinyi..eti akili zako zakwambia hilo umenikamata...ugua pole pole
 
Siez rudia picha kw ma taira km nyinyi..eti akili zako zakwambia hilo umenikamata...ugua pole pole
tafadhali chunga lugha yako unapokuwa unazungumza na mtu hasa pale kama hajakutukana hata kidogo. Utu uzima ni kujiheshimu na clearly hujiheshimu hata kidogo. Nilikupa jawabu uniletee hiyo picha na hujaniletea unakalia kupanua domo lako hilo kama nyuma ya sufuria bila majibu yanayoeleweka. Nenda kafie huko kwenye nchi yenu ya kishenzi na siku nyingine kama huna proof ya unachokisema usijaribu kuleta upuuzi wako kama huu
 
tafadhali chunga lugha yako unapokuwa unazungumza na mtu hasa pale kama hajakutukana hata kidogo. Utu uzima ni kujiheshimu na clearly hujiheshimu hata kidogo. Nilikupa jawabu uniletee hiyo picha na hujaniletea unakalia kupanua domo lako hilo kama nyuma ya sufuria bila majibu yanayoeleweka. Nenda kafie huko kwenye nchi yenu ya kishenzi na siku nyingine kama huna prooff ya unachokisema usijaribu kuleta upuuzi wako kama huu
Wacha hasira wewe...
 
Proof gani unayotaka..n wakati ukwel umejianika...km we mwanaume kwel na waikibali kijicho nyama tupia aerial view ikuumbue..heheee
 
In a few years, this place will be like looking at Lower manhattan's skyline
DFxOrz0XUAMH9cC.jpg
DFxOrz5XUAEIFAw.jpg
DFxOrz7XcAAvrGq.jpg
 
Proof gani unayotaka..n wakati ukwel umejianika...km we mwanaume kwel na waikibali kijicho nyama tupia aerial view ikuumbue..heheee
wala sina haja and besides, kijitonyama wala hata sio central business district na inakupa wenge hivyo, cbd yenu umeshaiona au huwa unaangaliaga picha zenye filters na make up😀😀😀😀😀😀
72E691D8-5854-4665-B887-4B546D8DD3BE - Copy.jpeg
51578567-0533-4339-919E-3F2011B12FB5.jpeg
 
Wacha hasira wewe...
ndio nimekwambia hivyo na it's a Tanzania thing. I can assure you sisi sio arrogant na hyenas kama nyie so kama unataka kuconverse na mimi vizuri tu naomba utumie lugha ya heshima la si hivyo tutaonana wabaya
 
Back
Top Bottom