kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
sisi ni kama US, tuna monitor kila kitu kuhusu kenya na wakenya. hapa nilipo najua mpaka ratiba yako kwenda haja kubwa.Tanzania mpka kura za kenya mnazifuatilia...ama hapo nimekuongopea




sisi ni kama US, tuna monitor kila kitu kuhusu kenya na wakenya. hapa nilipo najua mpaka ratiba yako kwenda haja kubwa.Tanzania mpka kura za kenya mnazifuatilia...ama hapo nimekuongopea




Ndio maana tukifika sekondari tunapata tabu flan hv...kule primary somo la kingereza Ni moja tu,apo ndio utajua hujui 😛 😛Tuusan...naskia tz elimu ni km bongo movie vile...ina part1 na 2...
Primary mnatumia swa en high school mnatumia kingereza..nilicheka sana
it's strictly business, mkenya anataka apate burudani ya mziki mzuri ambao haupati toka kwa wasanii wa kenya, at the same time msanii wa tanzania anataka apate pesa toka kwa wakenya.just like that, no free meal.Mmmmm!!nakwambia..tena narudia...msanii wa bongo bila kenya...atapata tabu sana
As you wishKisu kigonga mfupa. Sasa tuanze tuoneshe BRT kutoka katika counties zote za Kenya.
We mzee una mambo...haya hyo taaluma yako wape na wanao pia..sisi ni kama US, tuna monitor kila kitu kuhusu kenya na wakenya. hapa nilipo najua mpaka ratiba yako kwenda haja kubwa.![]()
Kwa akili yako jinsi ilivyo, haya matatizo kidogo niliyokutajia hapo juu ndoto yako inakwambia kuwa wewe ni legitimate developed country!? Ok corruption iliyopitiliza, aids, debtsna mengine mengi, hebu sort out chinise debts then uje tena hapa ujitambe eti developed, do you really understand that word DEVELOPED au unaota? Have you been to the developed world!? Do you have any exposure or jyst land locked in Ke na kudanganyana kwa keyboard! Dont be fooled buddy!Hyo kitu umeregelea sijui mara ya ngapi sai...na wakati un wanajuwa nynyi ni maskini kutuliko...mambo mengine...mara kibera, turkana...si mtafute vitu vyengine vya kuipondea kenya...kisha eti ukabila...na wakati hapa jf wakenya wote si wa kabila moja...just go and your tears bro...mi napenda watu wenye wanaargue bila emotions
Duh!!niliwaza sana...eti after kcpe..form one niende nkakutane na kichina...hapo ningeambulia sufuri walai...ila nadhani serikali inalifanyia kazi hilo jambo...either wabaki na lugha moja..ndo itakuwa bora zaidiNdio maana tukifika sekondari tunapata tabu flan hv...kule primary somo la kingereza Ni moja tu,apo ndio utajua hujui 😛 😛
I respect your thoughts, believe on what you always do!Mmmmm!!nakwambia..tena narudia...msanii wa bongo bila kenya...atapata tabu sana
Mtanzania dream yake kubwa hap ea nikupata show kenya...it's strictly business, mkenya anataka apate burudani ya mziki mzuri ambao haupati toka kwa wasanii wa kenya, at the same time msanii wa tanzania anataka apate pesa toka kwa wakenya.just like that, no free meal.
I dont normally bring facts to jokers buddy, its a waste of time!😉😉😉😂We naona uko jf ku argue tu...bring facts bro..stop humillating yourself
Heheee!!hvo ndo huaga una argue mkuuNioneshe Building yenye 40fl kutoka counties zote za kenya. 😀😀😀
Moja ndio hayo mengine unajifunza kwa kiswahili ,baadae ndio utakuja kugundua kua mambo ni yaleyale tuKama vile Kenya ni somo moja tu la kiswahili. Wallah bin wallah ni wa tz au Kenya? Siulizi kwa ubaya
Heheee!!kwani jiwe keshalipa lile deni la mchina...ama zile pesa ndo kazinunulia zile ndege zenu..kisha eti mnajipiga vifua hapa...tumenunua cash..kumbe mlikopa ndo ili mnunuea ndege ionekane ni pes za ndani....Kwa akili yako jinsi ilivyo, haya matatizo kidogo niliyokutajia hapo juu ndoto yako inakwambia kuwa wewe ni legitimate developed country!? Ok corruption iliyopitiliza, aids, debtsna mengine mengi, hebu sort out chinise debts then uje tena hapa ujitambe eti developed, do you really understand that word DEVELOPED au unaota? Have you been to the developed world!? Do you have any exposure or jyst land locked in Ke na kudanganyana kwa keyboard! Dont be fooled buddy!
Thats a fact bro...mtanzania ea hatoki bila ya kufanya show kenyaI respect your thoughts, believe on what you always do!
wakenya mnaupungufu wa mziki mzuri toka kwa wanamziki wenu that's why it's very easy for musicians from tanzania to penetrate into your music market.Mtanzania dream yake kubwa hap ea nikupata show kenya...
Manake hapa ea ukishapiga show za kuaminika kenya ushatusua si kudanganyi
Endelea kujifurahisha...ukimaliza😀😀😀 Nioneshe county yoyote kenya yenye beautiful bridge kama Nyerere Bridge iliyopo Dar.
UnaiShi Dunia gani wewe!? Mpaka leo hujui tofauti kati ya Ke na Tz. When it comes to chinese debts!?Heheee!!kwani jiwe keshalipa lile deni la mchina...ama zile pesa ndo kazinunulia zile ndege zenu..kisha eti mnajipiga vifua hapa...tumenunua cash..kumbe mlikopa ndo ili mnunuea ndege ionekane ni pes za ndani....
Wachezea magu wewe...
Pwahaha kwahiyo tumeanza battle ya Kenya vs Tandale!?Endelea kujifurahisha...ukimaliza
..nionyeshe nyumba km hz tandaleView attachment 888428View attachment 888430