This city can be beaten by mombasa when it comes to beaches
True, naona napost picha za Nairobi hoods wanaenda MIA. wait waje wakiwa saltyThis city can be beaten by mombasa when it comes to beaches
Dar Mambo Murua
Ukiwa mgonjwa na ukaambiwa tuletee vibanda vya hovyo kama Vya Nairobi DarDar Mambo Murua
Jiji Lisilo na Vibanda vichafu
Da!
Hahaha Wacha utani weweUkiwa mgonjwa na ukaambiwa tuletee vibanda vya hovyo kama Vya Nairobi Dar
ujue wanataka ufe!!
Hivi kweli kama Dunia haija kutenga unaweza lala humu!!Hahaha Wacha utani wewe
Kiukweli Katika maisha yangu sikuwahi kuwaza Nairobi inaweza kuwa na vijumba kama hivyo!!Hivi kweli kama Dunia haija kutenga unaweza lala humu!!
Yaani namvua inanyesha umejifunika shuka na unapata usingizi!!
Hii hauta iona Dar never![]()
Ndio Ujue hivyoKiukweli Katika maisha yangu sikuwahi kuwaza Nairobi inaweza kuwa na vijumba kama hivyo!!
Usilo lijua ni usiku wagiza