Walker255
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 4,884
- 12,949
homa kwa wakenya
homa kwa wakenya
hahahaha....hahahaha.Hiyo sehemu inapendeza ukipiga picha ukiwa umesimama hao wazungu wanazingua...
nina cousin yangu yupo huko since 2010.kaoa na mwanamke wa kia-australia.The most livable city in the world for seven consecutive years
atarudi kivingine,ni suala la muda tu.Fyekeeeeea mbali,!



homa kwa wakenya
haki nimecheka sana baada ya kupitia hii tweet....the hustle is real nairobi.
Sasa huyo demu mwenyewe!!! Inaondoa maana nzima ya kununua.haki nimecheka sana baada ya kupitia hii tweet....the hustle is real nairobi.
Hahahaa... huyo ata bure sipigi. Kenya kuna upungufu wa vitu vizurihawa jamaa wako na shida mobbanasema K yangu hiii hiii
ShukranCorrect grammar unasema "When did they become" NOT When did they became
yule aliyekuwa anajifanya mwanamke amepotelea wapi??atarudi kivingine,ni suala la muda tu.
uzuri tushajua uandishi wake, hata akirudi kwa ID ya kike tutamjua tu.![]()
Smdh!!!
Babueeee!!battle iendelee...nataka kuona vitu kutoka pande zote mbili....hawana uwezo wa ku boycott hii battle...wapo wanapita kimyakimya japo roho inawauma.![]()
![]()
![]()
Game over hta km ni uzalendo na ushabiki si hvo...sometimes unatakia u appreciate...cz sai nimeona ya nini kushabikia tu...cha mwenzio km kizuri unatakiwa ukikubali...You can't be serious Man when did those glorified villages became big towns?
Thika a big town![]()
![]()
![]()
Bro..nyonga mtu pole pole...at the end of the day...si wote ni ndugu tuCorrect grammar unasema "When did they become" NOT When did they became
Nairobi lazima ukaze buti...ukizubaa zubaa utaachwa ukihesabu magari tu na kushanga na majumbahaki nimecheka sana baada ya kupitia hii tweet....the hustle is real nairobi.