Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Unajua mnaturudisha nyuma kabisa. About buildings concluded that Dar es salaam ikojuu. Hiyo issue tulishaimaliza. The whole Nairobi can compete with only Kariakoo. Unabisha!?
Dar is a village to Nairobi
 
Mathare slum vs Dar slum suburbs
30440913318_20c460cd7a_b.jpg
Screenshot_20180817-122108.jpg
 
Lazima watu hapa wakomeshwe, eti wanataka kufananisha Nairobi na upuzi....shindaneni na westy kwanza ndio muanze kuwaza Cbd na upperhill westy
44760935231_0419a0bbd1_o.jpg
29824092427_f249e6c0e9_o.jpg
43714702415_449926c8aa_b.jpg
44440067551_4d5b9618c5_b.jpg
43654889975_d2e8153a23_b.jpg
43375029055_e8dcd3181c_b.jpg
 
jamani hii battle Dar Es Salaam imeshinda wakenya na nairobi hawana jipya zaidi ya kurudiarudia ujinga.
 
hivi wewe, umekosa kazi eh?, wenzio wakiwa wanajiburudisha na dessert saivi wewe uko bize na westy, ndio maana nasema kuna wakenya humu hali zao ngumu, yaani muda wa dinner yeye amekariri kupost tu kupost tu, we kufa na njaa huko na usinisumbue tena
Wewe sababu unapost umekula??
 
Nimewapa kichapo mkachanganikiwa sasa umeanza kuquote mwenza
kichapo????? hahahahahahahahahah dude, you are brightening my day. So kwa akili yako hicho ulichokuwa unakifanya ni meaningful? jamani, dunia simama nishuke, kenya inahitaji more psychiatrists
 
kichapo????? hahahahahahahahahah dude, you are brightening my day. So kwa akili yako hicho ulichokuwa unakifanya ni meaningful? jamani, dunia simama nishuke, kenya inahitaji more psychiatrists
Wewe niambie nini inaendelea hapa kati ya westy na posta
43714702415_449926c8aa_b.jpg
7311f14853ff8f566df1d6eb86886b15.jpg
 
Back
Top Bottom