Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KQ Boeing 777-300ER and KQ Boeing 787-8
kazi hua munafanya ni hiii hapa😂😂😂😂👇👇👇👇👇👇👇
6D142504-E880-4864-8AFD-258FC76CCCE9.jpeg
 
idea yetu ya sgr tuliitoa europe ... tungetoa hiyo idea kwenu tungenunua mabehewa used ya 1960 kama yenu😎😎😎
Kwanini mnacopy kila project after kenya imeimpliment then you make few changes ndio isikae identical as soon as mligundua kenya iko na mafuta na inajenga double Pipeline mkakimbia kujenga, yet your port is dead. Endeleeni tu kushindana na ndovu kukunia.
 
Kwanini mnacopy kila project after kenya imeimpliment then you make few changes ndio isikae identical as soon as mligundua kenya iko na mafuta na inajenga double Pipeline mkakimbia kujenga, yet your port is dead. Endeleeni tu kushindana na ndovu kukunia.



sitaki kusema nyinyi mnakopi brt


sisi hatuwezi kufanya vitu kwa papara .... ndiyomaana umeona design ya sgr ilivyo
 
My friend you should reason, kq has two of its fleets leased. If KQ doesn't own a plane then how did they lease the planes.
Umegonga ndipo. Infact ni uwivu tu inasumbua hizi vijidanganyika. Surely! Nashangaa kuskia mtu hapa akisema ati KQ ni ya mzungu How?? Ni mzungu mgani huyo alinunua Kq
 
Hiv Kq ndege zao kama ndege zao wanazo ngap.. Au machine zote wame lease
hawana ndege hata moja na hawana historia hio na hii loss wanayolia nayo miaka mitano sasa ni kwasababu ya leasing aircrafts maana unaingia mkataba na mtu miaka mitano na kila mwezi anasubiri mpunga wake ye hajali wewe unafanya kazi au laa sasa leo hii hame limekua gumu sana kwao maana ushindani ni mkubwa sana kurudisha kwa wenyewe hawawezi kwasababu mkataba unawafunga wamebakia kufanya sub lease kwa wengine
 
Umegonga ndipo. Infact ni uwivu tu inasumbua hizi vijidanganyika. Surely! Nashangaa kuskia mtu hapa akisema ati KQ ni ya mzungu How?? Ni mzungu mgani huyo alinunua Kq
Hiv kenya si mnajisifu mnajua kingereza sijui mmesoma.. Hamjui maana ya sub lease au
 
leo nimekuona kumbe fala sana hujui hata maana ya sublease hahahha nenda google kwanza ujue maana ya sub lease
Unajiabisha kijana, acha nikuache na hayo. Tafuta hizo ndege mbili nimekuonyesha alaf ujue ukweli.
 
Back
Top Bottom