Saa zingine tu unalemea watu sana mpaka unaboo but tushazoea😎 cheza chini joh haha
na wewe unaamimmni kuwa mimi ni mzee?Saa zingine tu unalemea watu sana mpaka unaboo but tushazoea😎 cheza chini joh haha


😀So we sio mzee tena...ama mzee kimwili, kijana kiakilina wewe unaamimmni kuwa mimi ni mzee?![]()
Buda hizi ndo nini tena😂
Pictures!Buda hizi ndo nini tena😂
lakini nyinyi mmeamua ku copywright kila kitu ya Kenya Railways Corporation including their colours,logo,website(krc.co.ke)???shame on you, always copying kenya
Hizo ndio rangi halisi za TRC (Tanzania railway corporation) toka kipindi cha NyerereDon't you mean well copied?
mbona mmecopy logo?Hizo ndio rangi halisi za TRC (Tanzania railway corporation) toka kipindi cha Nyerere
.
Hizo ndio rangi halisi za TRC (Tanzania railway corporation) toka kipindi cha Nyerere
.
Umeona hiyo logo imesema Tanzania railways Limited? Hilo shirika wezi walijiuzia na kuliita hivyo lakini zamani lilikuwa linaitwa TRC na lilikuwa na mfuto wa machungwa na udongo.mbona mmecopy logo?
![]()
mbona mmecopy logo?
![]()



