Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

we albino muncher usiingize mambo ambayo hayapo au hayakukusudiwa...ujinga wako staki mie...bei ya vitenge pelekea mamako...umeskia nina haja ya kujua bei?
emoji23.png
emoji23.png
Hahah. Ukiwa na njaa kumbe una hasira hivyo. Tanzania na rwanda tulitaka kuzuia mitumba and we're still debating. Kenya hawawezi acha vaa mitumba
 
Hahah. Ukiwa na njaa kumbe una hasira hivyo. Tanzania na rwanda tulitaka kuzuia mitumba and we're still debating. Kenya hawawezi acha vaa mitumba
bla bla bla pelekea nyanyako..staki kujua bei ya jambo lolote mimi....sijui mtumba sijui vitenge...kwani nimekuuliza?
emoji23.png
emoji23.png
au we muuzaji vitenge umeamua kupeleka biashara mitandaoni?
 
Maeneo kama hayo sio yakwenda unanjaa njaa ,same as Upanga, Mikocheni,Masaki,Posta, Oysterbay,Kariakoo kama unataka plot lazima umwage pesa...hapa sijasema kiasi najaribu tu kuweka uhalisia wa mambo !!
 
Maeneo kama hayo sio yakwenda unanjaa njaa ,same as Upanga, Mikocheni,Masaki,Posta, Oysterbay,Kariakoo kama unataka plot lazima umwage pesa...hapa sijasema kiasi najaribu tu kuweka uhalisia wa mambo !!
yap hapo ma foreign investors sana sana ndio huwa wananunua ardhi
 
Back
Top Bottom