Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

It seems aliyeandika hii post kakosea au wewe ndio unayejua zaidi. Kazi yako ww ni kuzungukazunguka tu and you produce zero content to this thread. Haya, soma tena post at point no. 5 kisha ukimye. And btw, hauezi ongelea kitu ambacho hauna au hauwezi kukipata. wacha walio na uwezo kuzipata waongee.

Kulingana na baadhi ya wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi.
Ninaomba tuangalie katika positive way. Tuki post kitu kutoka Dar wale wa Nairobi wanaleta post ya kujibu. Na kama hakipo kwao wanasema hakipo na wao vilevile. Kama kipo kwenye plan wanaweza kuleta au sisi tunaweza kuleta kwaajili ya kujibu.
1. Master Plan of the city
2. Current View of the city
3. Ongoing Projects
4. FUTURE PROJECTS PROPOSED.
5. Culture and Life style
6. Food availability
7. Entertainment and Funny Places
8. Places to visit
9. Transport system (Private and Public)
10. Markets and Shopping malls
11. Hotels
12. Education centers
13. Health centers
14. Telecommunication and Data centers
15. Information Technologies and Innovation
Ndugu Jay456watt kutoka Nairobi kama ulivyo dai sasa thread inaanza.
Welcome to the battle.

Kama kiingereza kwako ni shida, enroll katika shule ya ngumbaru.
Tunaenda kwa utaratibu maalumu mbona hatufati utaratibu tulikua tumeingia kwenye ongoing below 20 mwenzako akanyayua mkono akasema defeated......kua mpole tunaenda kwa utaratibu tinaingia chaka kwa chaka baba hhahhhhaha usiogope sana😀😀😀😀
 
Am a Tanzanian like you
Ila naona unapoteza nguvu kwa mambo ambayo hayana mashiko
I hope nobody enjoys yur post coz those things happen anywhere

Kuliko kupoteza nguvu zako kupost hizo coments bora upige picha ya some good streets in Dar utupie humu, otherwise your not helpfull
Tatizo ni kwamba wanakataa slums kwao so tunaonesha uhalisia wa nairobi pia sio wanatupigia sehemu iliojengeka 120 km sq wakat iliobaki 576 km sq ni slums na huku wanaishi maisha ambayo sijawah kuyatia machoni toka nimezaliwa mm
 
Tatizo ni kwamba wanakataa slums kwao so tunaonesha uhalisia wa nairobi pia sio wanatupigia sehemu iliojengeka 120 km sq wakat iliobaki 576 km sq ni slums na huku wanaishi maisha ambayo sijawah kuyatia machoni toka nimezaliwa mm
Slums dont have a huge area, many people reside in small overpopulated areas. Around 6% of total land mass ndio slums zimejengwa
 
Tunaenda kwa utaratibu maalumu mbona hatufati utaratibu tulikua tumeingia kwenye ongoing below 20 mwenzako akanyayua mkono akasema defeated......kua mpole tunaenda kwa utaratibu tinaingia chaka kwa chaka baba hhahhhhaha usiogope sana😀😀😀😀

I would also give up on this bro. below 20???? man i ain't idle as you. those are residential apartments in Nairobi and all over Mombasa.
Sina time. Sorry!
 
Slums dont have a huge area, many people reside in small overpopulated areas. Around 6% of total land mass ndio slums zimejengwa
Anhaaaa haya get an image down there and uangalia kwa umakini sana area ya slums na area ya city center hehhehheheh kua mpole
1200px-Nairobi_slums_area.svg.png
 
ku argue na uyu msee ni ngumu. nime give up naye, only 2towers ndani ya Tanzania, matako yake yanalia mbwata. over 20floors ameshindwa kuproduce na Nairobi zenyewe you will lose count. sasa amelia sana anataka aletewe below 20floors, seriously?????
 
ku argue na uyu msee ni ngumu. nime give up naye, only 2towers ndani ya Tanzania, matako yake yanalia mbwata. over 20floors ameshindwa kuproduce na Nairobi zenyewe you will lose count. sasa amelia sana anataka aletewe below 20floors, seriously?????
Sio nimelia baba tumewapiga mabao over 20 completed, over 20 ongoing na under 20 ongoing sasa tunaingia below 20 completed hapa hatoki mtu wenzako wote walishanyayua mkono hahahahhahaahahhahahaha mm niliwaambia ongezeni mombasa na kisumu tumewaruhusu hahhaahahhahahahha twende kazi acha kulia wenzako walitoa povu jana mpaka wanatukana hahhahahahahahhaha
 
good things about Kenyans, we know about our weaknesses and we are working onthem. we know there exists a place called Kibera and its getting an uplift to 6storey apartments. South Africa which is the most developed country in Africa with the most numbers of the tallest towers on the continent has the biggest slum on the continent (Khayelitsha). Kenya can never be compared to Tanzania in so many ways. Not at all.
 
good things about Kenyans, we know about our weaknesses and we are working onthem. we know there exists a place called Kibera and its getting an uplift to 6storey apartments. South Africa which is the most developed country in Africa with the most numbers of the tallest towers on the continent has the biggest slum on the continent (Khayelitsha). Kenya can never be compared to Tanzania in so many ways. Not at all.
I bet you better think before hitting keyboard,if it was not able to compete this battle might have not exist untill today,the reason why it exist is b'se many things are tallying !! You good on roads and I admit that!! We good on scrapers you should appreciate that, our density is huge than yours,you got malls I do appreciate ,for the reason why this battle exist then Dar is the city to watch in Africa not only nairobi! !
 
ku argue na uyu msee ni ngumu. nime give up naye, only 2towers ndani ya Tanzania, matako yake yanalia mbwata. over 20floors ameshindwa kuproduce na Nairobi zenyewe you will lose count. sasa amelia sana anataka aletewe below 20floors, seriously?????
lewis mkuwe na akili hii thread nsichora mda tu lakin nawaona wakenya kikianzishwa kitu kwa mfano ongoing project ama completed nyie mnaweka kidogo then mnarukaruka nakuleta utaratibu mwingine wakat wanyuma haujamalizika aisee mnazingua......mnaleta ungedelen nenden hatua kwa hstua msijivuruge wakenya mlio kwenye ardhi ya kenyatta family
 
Am a Tanzanian like you
Ila naona unapoteza nguvu kwa mambo ambayo hayana mashiko
I hope nobody enjoys yur post coz those things happen anywhere

Kuliko kupoteza nguvu zako kupost hizo coments bora upige picha ya some good streets in Dar utupie humu, otherwise your not helpfull

hehehehe. ww ndio mkweli kabisa. hii thread nzima, hakuna mKenya yeyote anayepost picha mbaya za Tz. hakuna aliye perfect. but ukweli kabisa Kenya iko mbele sana. Tz nzima ni towers mbili tu. kama hii thread ingefungwa saa hii, kisha utafiti ufanyike, utapata waKenya ndio waliopost content nyingi zaidi na kupata walk-over. bila pingamizi
 
bado mnashindana na uyu jamaa wakusema 12 na 15 floors buildings ziko 20,huyu msee wa kuproduce marenders apa akisema ni 50 floor building,huyu msee mwenye city yao ina footbridge sita when msa road pekeyake iko na sita,1 at mlolongo,2 at cabanas,1 at gm,1 at Bellevue na moja apo nyayo...seriously!!!!! fungeni ii thread
 
Anhaaaa haya get an image down there and uangalia kwa umakini sana area ya slums na area ya city center hehhehheheh kua mpoleView attachment 494150
Slums are small chunks of land with over population mate. like kibera is 2,5sq km, pop, 200k plus. See what i mean. Huwa overcrowded but occupy a small area, around 6% of the total. Then again you have this image you want to believe of Nairobi, when a guy tells you this you argue against it. Tanzanians have this delusions of grandeur yet you are one of LCD countries mate.
Tuwachane na slum, post for me any residential areas like Runda, karen, Muthaiga, Kitusuru or maybe Lavington or riverside
Just 4 na picha zake
 
I bet you better think before hitting keyboard,if it was not able to compete this battle might have not exist untill today,the reason why it exist is b'se many things are tallying !! You good on roads and I admit that!! We good on scrapers you should appreciate that, our density is huge than yours,you got malls I do appreciate ,for the reason why this battle exist then Dar is the city to watch in Africa not only nairobi! !

Tz good on scrapers than Nairobi???? Hell NO. Think again. ama tulianze upya, tower baada ya tower?
 
Slums are small chunks of land with over population mate. like kibera is 2,5sq km, pop, 200k plus. See what i mean. Huwa overcrowded but occupy a small area, around 6% of the total. Then again you have this image you want to believe of Nairobi, when a guy tells you this you argue against it. Tanzanians have this delusions of grandeur yet you are one of LCD countries mate.
Tuwachane na slum, post for me any residential areas like Runda, karen, Muthaiga, Kitusuru or maybe Lavington or riverside
Just 4 na picha zake

lenga uyu msee. unless uko na time ya kuwaste
 
Back
Top Bottom