Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wapi huko hii kitu ishakaza vyuma
leo budaa umetapika sana😂😂😂👇👇
6743CE88-5439-4358-9B6C-CFA9C23CAC4C.gif
 
Imekaza vyuma tayari.

Sasa wewe kwa akili za kuvukia barabara unaniletea mtungi wa changaa pale entebe, wapi dreamliner hapo entebe?

KQ in Entebe
Passengers-boarding-a-Kenya-Airways-plane-at-Entebbe-International-Airport.jpg
hatukununua dream liner kwa ajili ya entebe tumenunua kwa ajili ya mumbai na china😂😂😂👆👆👆 q400 zipo zitafanya kazi hio na pia cs 300 mbili ziko njiani zinakuja kwa ajili ya kazi hio
 
kwahili wakenya hamna la kusema maana hizo ndege ni za wanaowadai kwahiyo leteni wanaowadai tuongeenao sio nyinyi wananchi......

mwaka huu lagos, joburg lusaka cpetown mumbai


=dreamliner na air bust zitafika huko



kukopa ni kubaya hasa kama hujui kurejesha
😕😕😕
Huko kote na ndege moja kwani inatumia technologia ya ya time travel?
 
US tulishawahi kwenda, na sasa ndiyo lengo, mkipata watalii tunataka muwapate kwa jasho ili mjigambe kwa haki, sasa hamtapumua! tumechoka na majigambo yenu ya kitoto
Umeumwa kwa kuwa tupo US na hata Entebe na Mumbai mnaimba kila siku tuliingia kitambo na bado tupo.
 
watu wamekwenda china kutafuta mikopo lakin cha ajabu wachina wenyewe kutwa wako tanzania😂😂😂👇👇

 
Doesnt look like Dar at all! You get the hunters all over the world, its no strange stuff to me, come with something which mends up the so called Cities of Dar and Nairobbery
Lets assume this is somewhere in India.
 
lakini imenunuliwa cash yani historia hio hamuna na hamutakua nayo😂😂😂😂






ila raisi wao ni mjanjaa sana kawauza wakaenya mara 5 hata wakikata rufaa haitawezekana..... wadeni wao siku wakiamua kuchukua chao utakauta hata mwaswast atachukuliwa kulipia deni
 
Back
Top Bottom