Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

kuhesabu buildings za below 20 nikazi kubwa sana ndugu...izo niuweke kujibamba cz sidhani kama zitaisha apa
Twende kazi wacha maneno mengi porojo za mini twende kazi au hujajianda bado hahahhhhaha
 
Yani instead ya government ijenge infrastructure inajenga towers mbili....waah footbridge tano watu 5 million...yanii kila bridge average 1 million people
hii nmecheka sana..ati wanaziesabu izo footbridge..msa road pekee iko na tatu,,haille sellasie iko na mbili...tushawafikia tayari....hahaaa
 
hii nmecheka sana..ati wanaziesabu izo footbridge..msa road pekee iko na tatu,,haille sellasie iko na mbili...tushawafikia tayari....hahaaa
Usibadilishe mada twende kazi au hujajiandaa umekuaje sasa hehehheeehheeh
 
Katafute majina tunaanza kwanzia 10 mpaka 19 hakuna ujanja hapa kama hujajiandaa jiandae kesho tuendeleee
hahaa...ten ata nyumba za wapangaji pipeline zimepita,can you really name all those.kama hii ndio battle okay nmeluz
 
okay then i concede defeat but ile siku utakuja leta battle ya above 20 ntakuja
Hayo ndio maneno mchezo umeisha bongo is a winner mwanzo mwisho😀😀😀😀😀😀
Unbelievable year 2017 hongereni sana kwa kuja na pia mutatusamehe kwa kuwatoa povu sana, it was not our fault mtatusamehe tulikua hatuna budi ila mazingira yamefanya hvo😀😀😀
 
Sasa below 20 si mcompete na Mombasa ama eldoret....Nairobi hizo ni uncountable
Kama ni uncountable twende kazi mm hua sina hiana kwenye nafsi yangu twende kazi tena hapo ndipo kutamu sana nilikua napatamani funga mkanda tuchome ndani😀😀
 
Nairobi, the beautiful city of Africa
4.jpg
7 (1).jpg
8 (1).jpg
10.jpg
11.jpg
 
Back
Top Bottom