ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
umepanic budaaππππππππ
umepanic budaaππππππππ
πππππππ
π π π nilikua namuandalia file lake sababu ndege yenyewe ipo kwenye standard ya hizi za kinagwajima haiwezi kukaribia cost ya Gulfstream ya JPM labda wauze KQ fleet zote wanazomilikitanzania presidential aircraftππππ
View attachment 852173
kenya presidential aircraftπππππ
View attachment 852174
akili kichwani kwakoπ π π πππππ
pole sana boss!Tanzania nao wakianza kuwa handcuff na kuwa deport hao nyan'gau wanitonye!! Ninao hapa kama 30 hivi hawana document yoyote halali au haramu inayowaruhusu kuishi na kufanya kazi hapa! Wengine wameshanunua viwanja na nyumba na wameenda kusomba wenzao wengine! Kiukweli hili suala la uzamiaji nchini kwetu linatufadhaisha na kutudhalilisha sana sisi wananchi hasa wa mikoa ya mipakani! Wakenya wanaingia hapa kwa majigambo kabisa kuwa hili ni shamba la bibi kwa hiyo wana haki na uwezo wa kuingia muda wowote wanaotaka bila kusumbuliwa na yeyote!! Hadi watakapo wafyeka vichwa wa tanzania wenzetu ndipo tutakapogundua kuwa hawa watu wanatudharau na kuidharau nchi yetu!
mkorogo unatisha,hongera pride of Africatupende kilicho chetu...Pwahahahaha
![]()
hawamiliki chochote ndege zote wame lease kwa mzunguπππππππ π π nilikua namuandalia file lake sababu ndege yenyewe ipo kwenye standard ya hizi za kinagwajima haiwezi kukaribia cost ya Gulfstream ya JPM labda wauze KQ fleet zote wanazomiliki
ππyaani mnawaandika mama ntilie wawahudumie wasafiri kwenye ndege?ππhawamiliki chochote ndege zote wame lease kwa mzunguππππππ
maskini ya MunguππππππYou will soon be surprised by how developed Kisumu is. View attachment 852311View attachment 852312
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππππππππyaani mnawaandika mama ntilie wawahudumie wasafiri kwenye ndege?ππ
![]()
hiyo eti ndo cbd ya kisumu wanaolinganisha na A town duh watapata taabu sanamaskini ya Munguππππππ
hio ndio CBDπ π π
angalau...wale mama ntilie walikuwa wanawatia aibu tupu...yaani ni kana kwamba ni wauguzi toka hospitali ya Turkanaππππππππππππ
View attachment 852326
Have you realized that you just insulted your own country, not oursangalau...wale mama ntilie walikuwa wanawatia aibu tupu...yaani ni kana kwamba ni wauguzi toka hospitali ya Turkanaπππ
ππππcompareHave you realized that you just insulted your own country, not ours
Not that, I mean wafanyakazi wa hospitali ya Turkanaππππcompare
![]()
Those folks are not flight attendants look at the other pictureππππcompare
![]()
Mtaumie huu mchezo acheni kabisapole sana boss!
na wewe pia tia bidii ununue shamba na ujenge kisha uwache kuwa na kinyongo kwa wenzako waliofanikiwa.... nye nye nye nye. kwerra