Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi Metropolitan Area is 3200sq in size..ata ukiwa rongai bado uko nairobi...

hivi wewe kijana unadhani upo hapa uki argue na watoto wenzako?. huko college ulienda kusomea ujinga?.

haya bishana na namba hapa chini. numbers don't lie.

Screenshot_2018-08-27-10-18-51-898_com.opera.browser.jpg
IMG_20180827_102017.jpg


halafu tukiwaambia nairobi ni kamji kadogo huwa mnabisha.
 
even newyork,london etc has bedsetters (studio appartments)
kwa hiyo nairobi sasa imekuwa sawa na newyork au London si ndio?.

hivi ulishawahi kusoma kuhusu industrial revolution na miaka ambayo ili take place katika hiyo miji uliyoitaja?
 
hivi wewe kijana unadhani upo hapa uki argue na watoto wenzako?. huko college ulienda kusomea ujinga?.

haya bishana na namba hapa chini*

View attachment 848151View attachment 848152
Mzae ..bado haujadie..wazee wenzako wako mashinani wakilima na uko tu kwa mtandao kama kijana ..naona haujasoma my statement poa..i said METROPOLITAN AREA..........google what a metro is before your quick to reply without second thoughts...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hiyo nairobi sasa imekuwa sawa na newyork au London si ndio?.

hivi ulishawahi kusoma kuhusu industrial revolution na miaka ambayo ili take place katika hiyo miji uliyoitaja?
foolish man...dar has no bedsitters but very bad houses with no modern sewer system...majority use pit latrines

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa kama ukubwa wa nairobi county as a whole ni 696sq, hiyo 3200sq of a so called "nairobi metropolitan area" uliitowa wapi?. makalioni kwako i think. jinga kabisa wewe.

View attachment 848158
Wewe wacha ukilaza bana.....kando na hako kacbd ka Dar sijawahiona picha ya eneo lingine hapa ndio tuamini Dar ina metro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta miwani na usome vizuri nikuchanue uzee wakoView attachment 848161

Sent using Jamii Forums mobile app



nairobi has a metro ....kitengela,Rongai,kikuyu,Ruiru,Juja,etc....anyother modern city also has a metro

Sent using Jamii Forums mobile app

tizama hawa vilaza wawili wanavyojiangaisha.mnabwabwaja kama wajinga. nimewakamata makalioni round hii. hamtoki hapa.

narudia tena,ukubwa wa county ya nairobi ni 696sq, hiyo 3200sq ya nairobi metropolitan area mmeitowa wapi?.

image hapa chini haijajibu swali langu, sanasana inadhidi kudhihirisha ujinga wenu.

IMG_20180827_105021.jpg

kueni huru kuendelea kutoa mapovu, ila ninachotaka hoja yangu ijibiwe kwa evidence za kueleweka.wajinga wakubwa nyinyi.
 
tizama hawa vilaza wawili wanavyojiangaisha.mnabwabwaja kama wajinga. nimewakamata makalioni round hii. hamtoki hapa.

narudia tena,ukubwa wa county ya nairobi ni 696sq, hiyo 3200sq ya nairobi metropolitan area mmeitowa wapi?.

image hapa chini haijajibu swali langu, sanasana inadhidi kudhihirisha ujinga wenu.

View attachment 848165
kueni huru kuendelea kutoa mapovu, ila ninachotaka hoja yangu ijibiwe kwa evidence za kueleweka.wajinga wakubwa nyinyi.
sasa huyu...ata if i told you 1+1=2...utakana useme ni 7....your beyond repair
images-17.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom