Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤗🤗🤗🤗🤗
2DB90E18-1EED-43E6-BD87-56914DA00F7F.jpeg
 
hii thread mpaka siku magufuli anamaliza muda wake 2025 inshallah [emoji23][emoji23][emoji23] kama ni povu basi mutoe mapovu ya magadi
Lakini ikifika 2022 hawa wawili washinde kura nahamia Dar walai hapo ndio nitakubaliana na wewe kenya imeisha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
FB_IMG_15350363156721574.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
but tribalism is there eating meat of kenyans[emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115][emoji115]
Tribalism imepungua but Corruption is even higher than tribalism. Sahii kenya Mkikuyu,Mjaluo na Muindi watashiriki katika Ufisadi na team work ingine noma![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] but the government is working on it, Lazima ipunguwe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifikiri hizi ndio kubwa Afrika nzima kumbe Dar yote ni suburb
kijitonyama-jpg.844615


Bendera ni kama ya wavuta bange.
Nimesoma jogorafi, hivi ina maana kawawa road, Al Hassan Mwinyi, Kigamboni kutupu, Mandela road hazionekani? Imepigwa upande gani wa DSM?
 
Nilifikiri hizi ndio kubwa Afrika nzima kumbe Dar yote ni suburb
kijitonyama-jpg.844615


Bendera ni kama ya wavuta bange.

hii bila shaka ni dar es salaam ya late 90s or early 2000s.
asante kwa kurepost picha ya tbt.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hii bila shaka ni dar es salaam ya late 90s or early 2000s.
asante kwa kurepost picha ya tbt.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo barabara inaitwaje, ok ni 1990's ,
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mimi hata kusema kweli kiswahili ninajifunzia hapa #tunafanya trade ya English to swahili

Sent using Jamii Forums mobile app
sio kwamba wakenya hamjui kuzungumza kiswahili, mnajua but your swahili isn't sweet and romantic compared to the spoken swahili in tanzania. your swahili is too ugly.

hiyo ndio sababu inawafanya muwe kwenye denial ya kukimbilia kingereza ilhali hata hicho kingereza chenyewe baadhi yenu kinawashinda.

wakenya pekee wanaozungumza kiswahili safi ni wale wa mombasa.
 
Back
Top Bottom