Lakini ikifika 2022 hawa wawili washinde kura nahamia Dar walai hapo ndio nitakubaliana na wewe kenya imeishahii thread mpaka siku magufuli anamaliza muda wake 2025 inshallahkama ni povu basi mutoe mapovu ya magadi

Tribalism imepungua but Corruption is even higher than tribalism. Sahii kenya Mkikuyu,Mjaluo na Muindi watashiriki katika Ufisadi na team work ingine noma!but tribalism is there eating meat of kenyans![]()
but the government is working on it, Lazima ipunguweMkifika hii level mnitagahead of taxi basikeli pamoja ukali wa maisha maana yaonesha maisha ni magumu sana kisumu na county zote zinazozunguka kisumu![]()
View attachment 845072Ata hajui democracy ni niniUjamaa haikubali democracy no wonder they don't have any opposition.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezi fungwa. Hii thread inaletanga some more people from Kenya. So jamii inamea na popularity. Hii kwao ni jackpotUwivu utamaliza hizi jamaa, naona by 2019/2020 hii thread itafungwa![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Man uko serious unatuonyesha KFC this era!!!
Nimesoma jogorafi, hivi ina maana kawawa road, Al Hassan Mwinyi, Kigamboni kutupu, Mandela road hazionekani? Imepigwa upande gani wa DSM?Nilifikiri hizi ndio kubwa Afrika nzima kumbe Dar yote ni suburb
![]()
Bendera ni kama ya wavuta bange.
Ata hajui democracy ni nini
Mimi hata kusema kweli kiswahili ninajifunzia hapa #tunafanya trade ya English to swahiliNilifikiri hizi ndio kubwa Afrika nzima kumbe Dar yote ni suburb
![]()
Bendera ni kama ya wavuta bange.












Kwani sisi tumejipeleka nchi za watu we gine kama ninyi? au ninyi watu wenu sio muhimu zaidi ya waganda?, au ndiyo tabia ya failed states?https://www.nation.co.ke/news/polit...peaceful-poll/1064-1893004-j93e9vz/index.htmlNyinyi mmefanya ya Tundu Lissu na yule msichana alipigwa risasi ama ya wale walikatakatwa na panga? 😀😀😀 You are a funny buffoon.
Hiyo barabara inaitwaje, ok ni 1990's ,hii bila shaka ni dar es salaam ya late 90s or early 2000s.
asante kwa kurepost picha ya tbt.
![]()
sio kwamba wakenya hamjui kuzungumza kiswahili, mnajua but your swahili isn't sweet and romantic compared to the spoken swahili in tanzania. your swahili is too ugly.![]()
![]()
![]()
Mimi hata kusema kweli kiswahili ninajifunzia hapa #tunafanya trade ya English to swahili
Sent using Jamii Forums mobile app
hata sijui.Hiyo barabara inaitwaje, ok ni 1990's ,