Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

🤗🤗🤗🤗🤗
2DB90E18-1EED-43E6-BD87-56914DA00F7F.jpeg
 
Nilifikiri hizi ndio kubwa Afrika nzima kumbe Dar yote ni suburb
kijitonyama-jpg.844615


Bendera ni kama ya wavuta bange.
Nimesoma jogorafi, hivi ina maana kawawa road, Al Hassan Mwinyi, Kigamboni kutupu, Mandela road hazionekani? Imepigwa upande gani wa DSM?
 
Mimi hata kusema kweli kiswahili ninajifunzia hapa #tunafanya trade ya English to swahili

Sent using Jamii Forums mobile app
sio kwamba wakenya hamjui kuzungumza kiswahili, mnajua but your swahili isn't sweet and romantic compared to the spoken swahili in tanzania. your swahili is too ugly.

hiyo ndio sababu inawafanya muwe kwenye denial ya kukimbilia kingereza ilhali hata hicho kingereza chenyewe baadhi yenu kinawashinda.

wakenya pekee wanaozungumza kiswahili safi ni wale wa mombasa.
 
Back
Top Bottom