Unaona sasa vile watanzania huamini each & every fake news, so you want to tell me Presidential escort ya kenya iko na Nissan v8gari ya ikulu inaibiwa inakuja kukamatiwa tanzania
Hivi kwanini wewe ni mjinga kiasi hiki?, wewe umesikia kwamba polisi wa Kenya ndio waliowapa taarifa kwamba gari lao limeibiwa ndio polisi ya TZ ikaanza huo msako, kama huamini kwanini usiulize polisi ya Kenya?. Mbona mwaka jana gari lingine la ikulu lilikamatwa Uganda?, Kenya is a failed state.Unaona sasa vile watanzania huamini each & every fake news, so you want to tell me Presidential escort ya kenya iko na Nissan v8
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma lebo babaaHivi kwanini wewe ni mjinga kiasi hiki?, wewe umesikia kwamba polisi wa Kenya ndio waliowapa taarifa kwamba gari lao limeibiwa ndio polisi ya TZ ikaanza huo msako, kama huamini kwanini usiulize polisi ya Kenya?. Mbona mwaka jana gari lingine la ikulu lilikamatwa Uganda?, Kenya is a failed state.
Sent using Jamii Forums mobile app
in my life sijapata kuona duniani city taxi ni baiskeli zaidi ya kisumu😀😀😀😀 are u realy serious
View attachment 791607View attachment 791608View attachment 791609View attachment 791610
watajifanya hawakuona😂😂😂kina mawasapere na mwaswast .hebu tupeni nini kimejiri hapo nairobi maana mijengo ya AVIC Hq imepigwa stop na wachina wapo ndani kwa rushwa (nchi ya kitu kidogo) hebu leteni jamvini hiyo habari
kisumu taxi ni baiskeli lakini wazungu hawafanyi baiskeli kua taxi 😂😂😂👇👇The Daresalaamians are using Kibera as a death sentence to Kenya Nairobians and especially Kibera dwellers,this is ok
View attachment 844827Big cities dwellers are taking over cycling over driving..Kisumu is not exception.
hilo swali waulize walinzi wa ikulu😂😂😂 ikiwa gari za ikulu zinaibiwa tena zinavuka mpaka wenu alaf nyie ndio muje muwape uhuru somalia😂😂😂😂Unaona sasa vile watanzania huamini each & every fake news, so you want to tell me Presidential escort ya kenya iko na Nissan v8
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii si ni suburbnioneshe slum hapo au hujui maana ya slum😂😂😂😂👇👇👇👇
View attachment 844729View attachment 844730View attachment 844731View attachment 844732View attachment 844733View attachment 844734View attachment 844735
munaingilia siasa za uganda wakati siasa zenu zimewashinda😂😂😂👆👆👆
Ona huyo mwogamunaingilia siasa za uganda wakati siasa zenu zimewashinda😂😂😂👆👆👆
muoga wa nn siasa zenu zimewashinda leo hii siasa za uganda zinawahusu nn au ni hasira ya kunyimwa bomba la mafuta pamoja na SGR😂😂😂😂😂😂Ona huyo mwoga