what is density according to you?ndugu yangu CBD ya dar kwa density chukua CBD ya nairobi+ westland+ upper hill etc![]()
what is density according to you?ndugu yangu CBD ya dar kwa density chukua CBD ya nairobi+ westland+ upper hill etc![]()
Wakenya pitieni hapo kidogo tazameni modern house.![]()
![]()
![]()
![]()
Ziba masikio ili usisikilize kinachozungumzwa wewe hapo tizama hizo. Nyumba tu kisha mcheki na mrembo huyo akupe exposureHii sasa ni ujinga,
Usituambukize utoto wenu
Hizi ni nini sasa poor man ?
Huo wa kula week nzima dah tunacheka kama mazuri vilenjaa haina adabu... inakujia tu hata kama unatoka middle economy country.
View attachment 825920View attachment 825921View attachment 825922View attachment 825923








Nop, actually ni cbd ya Nairobi plus Mombasa, napo bado hawafikii, av been to both citiesndugu yangu CBD ya dar kwa density chukua CBD ya nairobi+ westland+ upper hill etc![]()
are u mad for real
kwan ww umeelewa nn?? maana usijitie ujuaji hua sichelewi kumuumbua mtu mimi ohoooo😂😂😂😂😂what is density according to you?
Wataelewa tuwakenya msije mkafkiria ni dubai au riyadh hapana hapa ni unguja tanzania
View attachment 826425View attachment 826426View attachment 826427View attachment 826428View attachment 826429View attachment 826430View attachment 826431View attachment 826432View attachment 826433View attachment 826434
ushindani wa sasa kwenye biashara ni mkubwa sana sipingi maneno yako bali naongezea kua ukija kwenye ushindani wa supermarket tayari kenya tushamdondosha kwa upande wa tanzania kwa sababu uchumi kashindwa kaondoka na nakumatt tayar ameshindwa ameanza kuondokamimi kulingana na maoni yangu ni kuwa Dar imekuwa kwa kasi. Sasa ni mjitahidi kuifanya Dar kupata umaarufu wakutosha na Watanzania mchape kazi kisawasawa makampuni yenu yaweze kuvuka border. Makampuni ya Kenya kama Equity Bank, KCB Bank, Sportpesa, Nakumatt, na mengineo ndio sasa mnafaa mshindane nazo.
Sema hiyo brt ya nigeria ni vituko....kwa kujikumbushisia tu
modern BRT in africa
dar
View attachment 826448View attachment 826449
south africa
View attachment 826446View attachment 826447
nigeria
View attachment 826452View attachment 826450
kenya
View attachment 826445View attachment 826451
Uchumi na Nakumatt hata hapa Kenya walifunga kazi. Kenya supermarket kubwa saa hii ni Tuskys akifuatwa na Naivasushindani wa sasa kwenye biashara ni mkubwa sana sipingi maneno yako bali naongezea kua ukija kwenye ushindani wa supermarket tayari kenya tushamdondosha kwa upande wa tanzania kwa sababu uchumi kashindwa kaondoka na nakumatt tayar ameshindwa ameanza kuondoka