Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wakenya msije mkafkiria ni dubai au riyadh hapana hapa ni unguja tanzania😂😂👇👇
3F283372-F513-48DD-96B8-E78348F74CEE.jpeg
7E2E4F19-9163-468C-8A84-BEB3E467CEF1.jpeg
B67B5060-6D11-4582-84C1-80B79A02C095.jpeg
31298B92-37D7-4E3F-944B-B0AD7BC6DF72.jpeg
7B6296EE-C756-40C4-9A89-5DC8CF74B3FE.jpeg
97AF74BA-2D04-49CC-88CB-867F76B78969.jpeg
9606B2C3-75A2-4463-949C-CDEA812B67B5.jpeg
95131DD3-5D54-43CA-B6F1-F32C80754EE1.jpeg
5B8EBFB2-CDAA-4A45-8298-EC3522FD6318.jpeg
6E4EB645-EF1E-4844-A22B-AD5B007CCCFB.jpeg
 
mimi kulingana na maoni yangu ni kuwa Dar imekuwa kwa kasi. Sasa ni mjitahidi kuifanya Dar kupata umaarufu wakutosha na Watanzania mchape kazi kisawasawa makampuni yenu yaweze kuvuka border. Makampuni ya Kenya kama Equity Bank, KCB Bank, Sportpesa, Nakumatt, na mengineo ndio sasa mnafaa mshindane nazo.
 
mimi kulingana na maoni yangu ni kuwa Dar imekuwa kwa kasi. Sasa ni mjitahidi kuifanya Dar kupata umaarufu wakutosha na Watanzania mchape kazi kisawasawa makampuni yenu yaweze kuvuka border. Makampuni ya Kenya kama Equity Bank, KCB Bank, Sportpesa, Nakumatt, na mengineo ndio sasa mnafaa mshindane nazo.
ushindani wa sasa kwenye biashara ni mkubwa sana sipingi maneno yako bali naongezea kua ukija kwenye ushindani wa supermarket tayari kenya tushamdondosha kwa upande wa tanzania kwa sababu uchumi kashindwa kaondoka na nakumatt tayar ameshindwa ameanza kuondoka
 
ushindani wa sasa kwenye biashara ni mkubwa sana sipingi maneno yako bali naongezea kua ukija kwenye ushindani wa supermarket tayari kenya tushamdondosha kwa upande wa tanzania kwa sababu uchumi kashindwa kaondoka na nakumatt tayar ameshindwa ameanza kuondoka
Uchumi na Nakumatt hata hapa Kenya walifunga kazi. Kenya supermarket kubwa saa hii ni Tuskys akifuatwa na Naivas
 
Back
Top Bottom