saadeque
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 2,170
- 1,356
daah...sinimeeka uko nyuma bossNi oneshe avic 6 hahahhaahaa mm nakwambia utakimbia hapa hahahhahahhahahahahah tWende taratibu Acha mapepe bongo ni motoooooo
daah...sinimeeka uko nyuma bossNi oneshe avic 6 hahahhaahaa mm nakwambia utakimbia hapa hahahhahahhahahahahah tWende taratibu Acha mapepe bongo ni motoooooo
Si ni ukweli mkisema project ya $75,million ni biggest east Africa hapo ni kutubebaTulia baba wacha kuongea sana hahhahahhahahhahahahahha mbona mumepost nyie tumetulia hahhahahahha
Onesha hapa 6 towers Unaogopa nn hahhahahahhahah mm sio mtoto onesha hapadaah...sinimeeka uko nyuma boss
mwenzako amesema anataka above twenty floors.....cz izi utakimbia apa
sasawa ngoja nikuekeeOnesha hapa 6 towers Unaogopa nn hahhahahahhahah mm sio mtoto onesha hapa
Two river pekee pale ilipo imemaliza usd 200 million? Huo ni ufisadi wa hali ya juu....labda kama ina phase na Ile ni phase one apo sawaEty hiyo ka mjengo 75 million tu na two rivers pekee ni 200 million us dollars
Wewe sio mzimaAfrica nzima. Nitajichinja mukijenga jengo zaidi ya 300m katika hichi kizazi changu mpaka nife. Come here Hass Baby Twins 300m and 200m Tall
Ufisadi aje na ni investment ya centum...si staff ya serikaliTwo river pekee pale ilipo imemaliza usd 200 million? Huo ni ufisadi wa hali ya juu....labda kama ina phase na Ile ni phase one apo sawa
Subiri nikuletee cost yake naona unaongea sanaSi ni ukweli mkisema project ya $75,million ni biggest east Africa hapo ni kutubeba
Kwa ile sifa yenu ya wizi hapo sawaEty hiyo ka mjengo 75 million tu na two rivers pekee ni 200 million us dollars
Ufisadi ndio kila kitu KenyaUfisadi aje na ni investment ya centum...si staff ya serikali
We usijifanye unaongea sana hio unaona ngapi sijapost below 20 hapa usitafute gear hapa tuliamwenzako amesema anataka above twenty floors.....cz izi utakimbia apa
ondoa izi vitu za 20floors apa. wachanga kujiaibishaSubiri nikuletee cost yake naona unaongea sana
View attachment 493305
Hii ni msee anainvest si government... Nyinyi MNA uwivu sanaKwa ile sifa yenu ya wizi hapo sawa
maana Wakenya 10, Nane ni wezi
Hatushangai hilo
mradi wa 50ml kenya ni 200ml
Wekeni sasa mbona waoga hahahahahah sana tumewatuhusu changanyanyeni Mombasa na kisumu piambona mnalia na Kambalanick ??? on going projects bado hamfiki Konza Techno City. Wakati nynyi saa ii mumeamka, sisi tumekuwa macho miaka zaidi ya miaka 50. Wakati Tz inashindana na Nairobi, Nairobi inawatoka Africa nzima. Wallahi nitavunja chupa nijichinje na kigai Africa nzima ikijenga jumba zaidi ya 300m pahali popote. na kwa bongolala, nitajikata hichi kidole naandikia nacho hapa mukijenga jengo zaidi ya 200m