Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Wanatusikitisha....sana hawa majirani.hawa watu wana maisha ya ajabu sana ndio maana leo usishangae mzungu kuja kutalii nairobi kuangalia vile binaadamu wanaishi kama nguruwe kibera, ww angalia hata kwenye airlines ethiopia imeajiri raia wake zaidi ya 35000 wakat kq imeajiri wakenya na wasiozidi 3000, leo nashangaa kuskia SGR imeajiri wakenya hawazidi 800 wakat wachina wameajiriwa 5000 na wachina ndio wanaokula mshahara mkubwa mara mbili mpaka tatu ya hao wakenya![]()
Ila usishangae hapa akatokea chokoraa mmoja wakikenya akakusmbia kama wamefanya hivyo sababu yakuingiza foreign income



