Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani Yanga wanacheza kwa "modern stadium" ama wako Kenya 🤔🤔🤔🤔
 
Last edited:
Haha...watu wangu wa tz...kwani kuliendaje??
Screenshot_2018-07-29-20-55-19~2.jpg
 
The funny thing about Tanzanians ni kudhani inchi yao pekee ndio inadevelop Africa mzima. Sasa ukisema mko top ten in Africa si utakuwa unatudanganya vibaya sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlifikaje top ten na hamna mandatory things kama indoor arena[emoji23] [emoji23] & infact tukichukuwa stadium za South Africa,Nigeria,Ghana, Morocco,Egypt,Algeria na congo!! Hamfiki hata top 30….infact East & Central Africa ni congo ndio ujue kweli mnajidanganya...CONGO HIO...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] View attachment 821621View attachment 821622
nilidhani iko nairobi😂😂😂😂😂
 
The funny thing about Tanzanians ni kudhani inchi yao pekee ndio inadevelop Africa mzima. Sasa ukisema mko top ten in Africa si utakuwa unatudanganya vibaya sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mlifikaje top ten na hamna mandatory things kama indoor arena[emoji23] [emoji23] & infact tukichukuwa stadium za South Africa,Nigeria,Ghana, Morocco,Egypt,Algeria na congo!! Hamfiki hata top 30….infact East & Central Africa ni congo ndio ujue kweli mnajidanganya...CONGO HIO...[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] View attachment 821621View attachment 821622
siku zote kubali kushindwa hata kama unaumia hakuna namna narudia tena tanzania stadium is the modern stadium in east and central africa and one of the top ten expensive stadium in africa

kwann unalia sana😂😂😂😂
 
Aty top 10 in Africa??I have gone through these stadiums Nikahurumia watanzania[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] THIS IS AFRICA!
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]View attachment 821624View attachment 821626View attachment 821628View attachment 821629View attachment 821630View attachment 821631View attachment 821632View attachment 821633View attachment 821634View attachment 821636
jibu lako liko hapa😂😂😂😂
maskini ya Mungu unatia huruma sana


Top 10 Most Expensive Stadiums In Africa 2016
 
Ile Yanga yao imefanywaje?
kuna kitu hamjakijua labda kuhusu yanga,Yanga ni timu kubwa katika ukanda wa afrika mashariki na kati na ni timu yenye mashabiki wengi hadi nnje ya mipaka ya tanzania ila kwa sasa imeyumba kutokana na migogoro ya kiuongozi na hadi kufika katika hatua hii ya makundi ni kutokana na uzoefu wa michuano hii ila bila ivo haikustaili hata kufika hapa ilipofika


wakenya msidhani mnaifunga yanga ikiwa katika kiwango chake, yanga ipo katika kipindi cha mpito ni saw na manchester united ya miaka mitatu iliyopita
 
Back
Top Bottom