sijasema SGR hio ni old train imekubali mziki maridadi kabisaPole sana sio SGR😛😛😛😛
hahaha whats going on hereHapo nyuma ya haya majengoView attachment 812328
na bado hao mpaka wakome wachina wanyoosheni wakenya mpaka kielewekesasa wamefanywa watumwa kwenye nchi yao
😱😱😱😱😱😱

Uchunguzi barabara za Jiji la Dar es SalaamNimestuka baada ya kugundua kwamba kumbe kuna barabara nyingi za vumbi katikati ya Jiji la DSM.
Nilikuwa sitegemei kwamba kwa umri wa jiji kama hili tunaweza kuwa na hata mita 100 za barabara ya vumbi. Tafsiri yangu ya City center kwa Umri wa jiji la DSM ni eneo lote ndani ya km 5 toka old post office.
Huyu msee anafwatilia SGR ya kenya hadi akiskia moja imechelewa atapost hapa as if they have any to brag aboutPole sana sio SGR😛😛😛😛
