Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dr. Magu alikuwa UDSM na hawezi zungumza kiingereza? Hii inafaa ichunguzwe hapa kuna fake degrees na Doctorate ama pia vyuo vyenu vikuu vinawafunza na Kiswahili?
Huna point..
.
.......kaa kimya.......

Kiswahili ni chetu na tunakizungumza popote pale tunapopenda....
 
Dr. Magu alikuwa UDSM na hawezi zungumza kiingereza? Hii inafaa ichunguzwe hapa kuna fake degrees na Doctorate ama pia vyuo vyenu vikuu vinawafunza na Kiswahili?
Hide your stupidity young boy. You are more than this. Does doctorate inahusiana na English language!? Do you listen yourself!?
 
Dr. Magu alikuwa UDSM na hawezi zungumza kiingereza? Hii inafaa ichunguzwe hapa kuna fake degrees na Doctorate ama pia vyuo vyenu vikuu vinawafunza na Kiswahili?
What is kiingereza?can you prove hakijui?
He's better than our previous pres kwani huoni atleast he's pushing things natunasonga...tangu akiwa waziri alikua best katika utendaji which is more important than a good English speaker ambae hana dira ...na hakuenda UDSM kusoma linguistics or bach of arts in literature like you folks , kasoma kemia and maths na anaphd ya kemia
 
Hide your stupidity young boy. You are more than this. Does doctorate inahusiana na English language!? Do you listen yourself!?
In normal circumstances English is always associated with high level of education so don't get angry when asked about it.
 
What is kiingereza?can you prove hakijui?
He's better than our previous pres kwani huoni atleast he's pushing things natunasonga...tangu akiwa waziri alikua best katika utendaji which is more important than a good English speaker ambae hana dira ...na hakuenda UDSM kusoma linguistics or bach of arts in literature like you folks , kasoma kemia and maths na anaphd ya kemia
Lakini kusema kweli, English is the language of business world over. Kiswahili kitukuzwe, but ingekua vizuri sana kama mngekua mnaitambua Kiingereza pia. DIVERSITY
IMG_20180728_140342_557.jpg
 
Kama inabadilika mbona UDSM haijakuwa top ama kutajwa top 20
[emoji23][emoji23][emoji23]
Haha kunywa maji buda! !
Iyo chuo yenu hamtuambii kitu ..Hata wewe unajua UDSM, makerere,UoN ni vyuo vyenye hadhi zake sihitaji kuandika notes uelewe Ilo! !sasa izo ups-down ni vitu za kawaida,kama kawaida UDSM huenda tops student watu wenye uwezo na vigezo sina wasiwasi wowote
 
Niliskia mnafunzwa Kiingereza kutumia Kiswahili

Ukweli?
Sometimes wanaelekeza alichofundisha kwa kisw pale tu inapoonekana ni kitu kigeni sana lakin kingereza kawaida hufunzwa kwa kingereza
 
In normal circumstances English is always associated with high level of education so don't get angry when asked about it.
Wako mamburula wengi wanaongea kingereza na hawana hata iyo certificate
Angalia wale jamaa wanaouliza maswal ya ufaham mtaani mtu anaulizwa the nationality of someone from TZ is a Tanzanian, Kenya is kenyan how about someone from England? He then replied englana [emoji23] [emoji23] ?how does this fool relate to high level of education?
 
Nani ako na picha ya kinoru stadium awekee hawa watu wanauliza stadium nje ya Nairobi
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] of course Tanzania [emoji1241] tuna football [emoji460] drama [emoji624] [emoji327] and music [emoji445]

Ila kwenye udaku haujakosea kabisa [emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Gor Inakuja Dar kukutana na Yanga 2nd leg [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mtajua ni Mazishi!
FB_IMG_15286852972356458.jpg
 
Back
Top Bottom