mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 32,066
- 39,516
wacha wajipepee bro.hivi umefikiria dar itaonekanaje baada ya BRT fase 2&3,sarender bridge,na hiyo SGR????hapo 2020,mimi nacheka watu fulani kwa dharau.
heheheh ndio maana nataka hii thread idumu mpaka 2020 bro yani hawa watalia machozi ya damu😀😀wacha wajipepee bro.hivi umefikiria dar itaonekanaje baada ya BRT fase 2&3,sarender bridge,na hiyo SGR????hapo 2020,mimi nacheka watu fulani kwa dharau.
Mr.Bajber, Tz is a non issue to usyes ndio inayowaumiza kichwa 😀😀😀
Kasarani was built 31 years ago na bado inawapa pressure with an indoor gymnasium,olympic pool size etcMeza wembe chetu ni chetu the home of heroesView attachment 818495View attachment 818499View attachment 818500
hilo ni shoga la kikenya,angalia avatar yake uone..tuna-discuss na watu wa hovyo sana humu!!
kumbe ni punga
Wakiziona hizo huwa wanaumia sana.......
Nondo juu ya nondo kuu
Well planned zones
Good feeder and access roads
Good sewerage systems
Awesome residentials
CITY OF NAIROBI
mnaishi viwandani
Dar ni noma wale wakenya chokoraa wasiotembea nnje ya kenya huwa wanafikiri dar hakuna hizi jengo
Huwa hawana..........ni watu flan wakipuuzi wanaojiamulia mamboniletee official source usiniletee source za kipuuzi alaf nikuoneshe ujinga wako ulivokuama😀😀
KaribuHi guys!!!!
Itakuwa ni ni slum badestEti Dar is slum hahahah hivi kama mnaiita Dar hivyo na classification ya slum zao Nairobi zinajaza list ya Africa's worst slums sasa Nairobi tuiitaje cjui Naislum au Green city in a shithole
Hawana ni kuropoka tuGive us credible source n stop vomiting
Wakati wewe hapo ulipo ni mfu kifikraTUUSAN mambo ni kumoto huku.
Mbona na hawa ndugu zako wasikubali hali yao na wazingatie uchumi wa nchi yao badala ya stupid comparisons tusonge mbele?
Cha muhimu ni uhai

Yaani i wish ningeweza reveal maisha ya wakenya humu jf coz probably nearly wote ni jobless

Natunawanyoosha kisawa sawaSisi watanzania huwa hatuna tabia za kijinga za kutukana watu hovyo kama nyie so please kama hamkufunzwa tabia njema huko kenya labda hapa jf tutawafundisha
Pambana na hali yako..............Ulisomea shule gani hapa Kenya??
Huyp ni zeroooihivi unajua maana ya race
We killumefikiria vizuri sana,tunawatumia kama mfano siku zote.
mlianza na 6 lane roads kupunguza jam,tukaleta BRT.
mmenunua treni ya mafuta 2018,sisi tunaleta ya umeme 2019
tumepanua uwanja ili kuongeza matumizi jknia.
tumeshawaacha katika utalii.
kitu tumewaacha mfarijike nayo kwa muda ni GDP.nayo tunaipea 10 yrs.