Finally ichoboy amejitokeza...Just completed apartment in westie![]()
Haha..msapere unawamada...hii ni kali
Wee acha uongo..ati ulikuwa wapi nai...sema tujueNairobi pachafu pananuka sana, I don't know why na hasa ukizingatia hali ya hewa ni baridi, nlikuwa hapo juzi, halafu kamji kadogo sana, nikiwa kwenye ndege naweza kojolea mji wote.
Nairobi pachafu pananuka sana, I don't know why na hasa ukizingatia hali ya hewa ni baridi, nlikuwa hapo juzi, halafu kamji kadogo sana, nikiwa kwenye ndege naweza kojolea mji wote.
"Mji mdigo" ...its Gdp is greater than Tanzanias Gdp.This is NAIROBI! NOT darPrism Upperhill NAIROBI!!.
![]()