Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hii haiwezi mtisha mtu,hiyo ni mikakati tu.

tunataka kuona nairobi ikivuka hiyo 692sqkm.
safi kabisa jibu zuri sana kelee nyingi alaf wana 692km sq na wapo 4million people wakat dar ina 1600km sq ina 4.5 million people😀😀😀
 
hii haiwezi mtisha mtu,hiyo ni mikakati tu.

tunataka kuona nairobi ikivuka hiyo 692sqkm.
Ilivuka kitambo sana kwanza Did you know Ongata rongai Kiambu kitengela na Athi river ziko inje ya boundary!! Ndio hizo hapo chini as follows..
76253861.jpg
726326.jpg
Screenshot_20180724-082956.jpg
lanpic.jpg
Green1.jpg
green3.jpg
FB_IMG_15324042386276724.jpg
 

Attachments

  • gard5.jpg
    gard5.jpg
    122.9 KB · Views: 27
hehehhe maskini ya Mungu alafu maji hakuna mjini nairobi 😀😀😀😀 watu wanaishi kwenye slum zinazoogopeka dunia nzima
Sasa different ya kibera na kijitonyama na dar mzima ni gani? yani hata google map inajua dar ni slum yote hadi inageneralize,"Dar is salaam slum areal view" na kama ni Nairobi ingekuwa specific...(Kibera slum)
aerial-view-dar-es-salaam-city-showing-densely-packed-houses-buildings-53799445.jpg
Screenshot_20180721-121817.jpg
 
1000houses zilibomolewa kwasababu zilikua barabarani usifkiri hatujui tunaelewa sana au nikuletee habari hapa😀😀😀😀😀
Bado zinabomolewa my frend...jana walibomoa just a small section and the aim is to cut through kibera then thats just not the only cause of demolition in kibera! Kenya railways bado wana demolish all structures along the railway line plus Kibera upgrade project bado inaendelea isitoshe bado real estate investors wana expand straight into kibera so by the time 2020 inafika kibera would have shrinked by 70% na bado itaendelea ku reduce
 
na mnara likiwemo heheh mnara nusu jengo😀😀
Hata bado tukitoa Britam bado UAP hamfikii na kwanza tumezoea wimbo zenyu aty mara ohh floors tukawapa jibu=avic, ohh minara...jubu=UAP, Ohh one tower tunawapa hivi karibuni=Pinnacle, mara ohh density...tunawapa Business district tatu plus kufungua Metropolitan mzima ya Nairobi, Ohh Slums tunademolish Kibera na kuwapa bypass super highway + real estate!, Ohh BRT we give you a maga Express way, which is good mnatufanya tuendelee kuweka pace which is our job as the EAC superpower! Mseme mnacho taka tuwawekee Hapa EAC
 
Hata bado tukitoa Britam bado UAP hamfikii na kwanza tumezoea wimbo zenyu aty mara ohh floors tukawapa jibu=avic, ohh minara...jubu=UAP, Ohh one tower tunawapa hivi karibuni=Pinnacle, mara ohh density...tunawapa Business district tatu plus kufungua Metropolitan mzima ya Nairobi, Ohh Slums tunademolish Kibera na kuwapa bypass super highway + real estate!, Ohh BRT we give you a maga Express way, which is good mnatufanya tuendelee kuweka pace which is our job as the EAC superpower! Mseme mnacho taka tuwawekee Hapa EAC
tuna tuna tuna tuna tuna.endelea kusubiri pinnacle.
 
Hahaha sijawah ona mkenya mpuuz kukuzidi
Thats a fact not a complement my friend! Unless you prove otherwise.

Obviously, Kenya's economy is much bigger. To give you a rough estimate of the economic gap between the two countries:
Kenya's total GDP is estimated at $56 billion. Of this, 65%, or about $36 billion, is from, in and around Nairobi.
Tanzania's total GDP is $33 billion.
Nairobi alone, therefore, has a larger GDP than all of Tanzania.
Screenshot_20180724-091634.jpg
 
Si tuna! Tume jenga britam Tumejenga UAP Tumejenga Avic Tumejenga SGR Tumejenga Thika Super highway Tumejenga Very many Bypasses what we are now doing is polishing the skyline
tumejenga modern BRT in africa, tumejenga modern cable stayed bridge in east and central africa,tumejenga TPA, pspf twin towers, MMF tower, mzizima etc, tunajenga modern electric train in africa, etc
 
Bado zinabomolewa my frend...jana walibomoa just a small section and the aim is to cut through kibera then thats just not the only cause of demolition in kibera! Kenya railways bado wana demolish all structures along the railway line plus Kibera upgrade project bado inaendelea isitoshe bado real estate investors wana expand straight into kibera so by the time 2020 inafika kibera would have shrinked by 70% na bado itaendelea ku reduce
ukhakha zilizobomolewa ni zile zilizokua barabarani lakin kibera slum haitakwisha mpaka yesu anashuka na haitatoka kwenye list world worse slum in the world hehehehhe unajipa matumaini kwenye hakuna😀😀
 
Back
Top Bottom