And the state of art ultra modern facilityThis thing is really massive...
Na uwache kujiconsole..kubali realityday time mbuzi hauzwi usiku😀😀😀
View attachment 816382
alaf ufananishe na hii modern stadium in east and central africa😛😛😛 kapimwe mkojo
View attachment 816389
tazama kwa umakini kidogo heheheNa uwache kujiconsole..kubali realityView attachment 816406View attachment 816407
Una mpango wa kuwafanya wakenya wavae vyupi kichwani?
Nganya ndio kusema! Hadi nganya Simulator imetoka *made in kenyaView attachment 816213View attachment 816214View attachment 816216
Is this Kisii??
pathetic roads how can a highway be single way, is this a business ditrict???....this one cant even rival Hurligham
Uwanja wa taifa ila viti vya kuhesabu. Jukwaa la juu lote ni zege tuHii picha ni ya siku gani?? Acha kupima watu hapa unaweka picha ya kitambo ndio ujiconsult hapa![]()
![]()
View attachment 816347View attachment 816348
mkuu waache waendelee kuzubaa zubaa wakati sisi tunawa-overtake...kama yako ilikua 2013 sasa hii ilikua 2017 my friend hii sio ile tz ya 90s sahau hio😀😀😀😀 sasa hvi tutakula sahani moja
View attachment 816034
in dar es salaam watu tunachanganyika hakuna mido class wala upper class!!unaweza kukuta mtu kasimamisha mjengo wake wa maana maeneo ya tandale,na wala hana noma wala nini..sasa....leteni middle class estates....
education ndo huwa inawaambia muwe mnaishi in classes,education is important
wao wanafikiri sisi tunaishi kama wao!!Kenyatta na familia yake wana maeneo yao ya kuishi,na hawa wakenya walala hoi wanaishi hostel,kama huwezi kuishi hostel unaenda kuishi kwenye mabanda ya kibera,korogocho,kiambiu,au kayole slums!!Watanzania hatuishi kwa kujitenga kutokana na economic status...unaweza kuta mtu ana nyumba ya ghorofa jirani yake ananyumba ambayo haijaisha finishing na hao watu wanaishi kwa ujirani mwema bila shida.
so stupid hapandi ndege??ndo huwa mnafundishwa Nairobi university!!u can keep your lies to yourself...u have never boarded a plane a guy who has cant be this stupid
This means THERE IS NO PLANNING AT ALLin dar es salaam watu tunachanganyika hakuna mido class wala upper class!!unaweza kukuta mtu kasimamisha mjengo wake wa maana maeneo ya tandale,na wala hana noma wala nini..
Now ..let me get this stright...your way of thinking is that its ok to setup a highrise building next to a mabati shack...soo kwako ni kwamba tuseme for example the pinnacle ingekengwa in the middle of kibera...unacheki vile inareson.....no wonder you cant develop ...hamna akili...education ndo huwa inawaambia muwe mnaishi in classes,
yaani ni bora usiwe na elimu kabisa kuliko kuwa na elimu ya kijinga!!
hiv wakenya huwa mnajiskiaje mkiingia kwenye hili gofu 😕
The mighty Salenda Bridge is a reality now...kesho mkandarasi anatia saini litatoka Agha khan mpaka coco beach...wakazi wa Dar tutakua tunahighway juu ya bahari.View attachment 815815