Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pinnacle inarise mpende msipende
Screenshot_20180720-150317.png
IMG_20180720_145759_190.JPG
IMG_20180720_145821_934.JPG
IMG_20180720_145847_266.JPG
IMG_20180720_145948_094.JPG
IMG_20180720_145925_309.JPG
 
Hatuna mpango wa kuipiku Kenya Malawi au Libya, tunaboresha nchi yetu watu wapate elimu huduma Za kijamii na uhakika wa chakula pamoja na Mali zao..
Hayo ndio ya muhimu kwetu
mkuu tukimaliza uliyoyataja kenya tshawaacha mbali na tupo karibuni kyama
Ngoja waje na data zao
HAHAHAHAHA...
unajua wakenya tulikuwa tunawachukulia kama ndugu zetu wa ukweli, lakini walikuwa wakituhujumu kwa namna nyingi sana, sasa tunabana kila mahali no free lunch, HATUPUMUI, vivutio vipo tanzania, kwanini watalii wengi waende kenya? TUMEANZA!
 
welcome to tanzania!

nugu
Nungu wewe kingereza kimekuja kwa meli usijifanye unakijua kumbe unaendelea kuonekana hopeless. Wewe mweusi tiii utakijulia wapi kingereza!? Usidhani hapa tupo darasa la tatu. Kwikwikwikwikwi. Akili zako ni za kitoto sana.
 
Ichoboy hakuna hasira, nilitaka ujue ziara yake si Tanzania pekee., na yale mambo anafanya, and we are his country's biggest trading partner in EAC.,
unashindana na tanzania kwa kupokea wageni wakubwa wakubwa jibu swali basi😀😀😀😀😀
 
Hii project imekosa mpunga sio bure...haiwezekan daily hao jamaa wanacheza na tope tu apo hata kumimina zege na kusuka nondo washindwe
Hii sio ppf inajengwa buda....70 floors unthani ni mchezo? foundation lazima Ikuwe 100% Tough and then the hights game begin. Hapo ndio mtajua hamjui
 
Back
Top Bottom