asvptx
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 1,940
- 1,015
hawawezi kubali ukweliHizi thread zinanipaga raha sana kusoma.. Kama mbongo nadhani facts ziwe facts.. Nairobi imetuzidi sana kimiundombinu haswa barabara na reli.. Watanzania waliofika ama kuishi Nairobi watakubaliana nami kwa hili. Cha msingi ni kuwa kwa sasa Dar nayo inajitahidi kukechi up ingawa naona kwa kiasi kikubwa ni majengo tu yanapanda lakini barabara na miundombinu mingine kama ya barabara (including public transport.. And yes najua kuhusu BRT), intaneti ya mwendo kasi N.K.vinasua sua sana..

view from Palm residence
GOPR0736
GOPR0730-2
DAR ES SALAAM CITY
DAR ES SALAAM CITY
view from Palm residence