Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yani wanaskitisha sana yani maisha yalioko nairobi yenyewe unaeza tokwa na machozi😀😀😀😀
Pale Nai ukitembea inabidi wakati wote uwe macho, Yaani simu, wallet na Kama una begi la laptop inabidi uwe makini navyo sana maana hata wahudumu wa hotel ni wakora hatari,
Maisha gani hayo aisee?
 
Naomba unielimishe ivi kijitonyama na upanga ni kitu moja. ......juu naona yale majengo yote ya tanhouse,morocco etc
upload_2018-7-11_10-21-43.png
 
Hahaha, wanafikiri Tz imeishia hapo Dar pekee, Hapo ngoja nikienda Mbeya nije niwaoneshe kuwa Tz isn't only Dar kama ilivyo Kwao, Kenya is only Nairobi and outside Nairobi ni majalala.

Hehehe Mbeya hiyo mnaita city is a collection of mabati buildings.... if Dar is slum is not Danganyika why is every Danganyikan in Dar??
 
Back
Top Bottom