Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

i wanted to say 60% i.e. 52.8 bln! 7 bln less of which by end of this year will hit $60 bln! As u r planning to borrow more!

WE WILL BORROW TILL ETERNITY.

THIS IS KENYA my fren , NOT TZ

IT DOES/SHOULD NOT CONCERN YOU
 
Arusha napapenda sana, hii jiji ndio mgeifaya iwe capital iko na potential kubwa sana
Mji wetu mkuu wa kitalii karibu sana
Arusha iko poa
21599600158_689a7dd5ce_b.jpg
 
Sababu gani sasa? Surely don't you guyz have better things to do!? Mko too Lazy to that extent! In Kenya Hundreds of foreign and Local Flights Flock JKIA, Moi and Kisumu 24/7 hours round the clock... Infact Kuna watu wamaana sana Huingia Kenya Bila hata watu kujua after they are gone ndio tunajua... Ona vile Chris brown anaingia Mombasa (not even Nairobi... Mombasa!) While people are traveling from Nigeria, Tanzania, Uganda, Rwanda kuja Mombasa Consert yake including whiz kid View attachment 806174View attachment 806175View attachment 806177
Sasa ingekua Dar Ungeskia ni public Holiday
we jamaa sio mzima..!!
 
Hii ndo upuzi gani naona on Jamii forums...sa itabidi nifunge hii account.
sasa ebu muwe mnatumia akili hata kidogo basi, kwenye battle ya dar vs nai,unawekaje picha za wanawake??what for??basi bora hata wangekuwa ma-celeb??
aaghh nyie wakenya vp nyinyi??hayo ma-universty hayawasaidii??
 
View attachment 806493View attachment 806494View attachment 806495View attachment 806496View attachment 806497View attachment 806499View attachment 806500


sema nin... hii biashara ya usafiri wa ndege hapa East Africa imepamba moto sana... tutegemee ushindani mkubwa sana. Mambo yafuatayo yaweza kutokea ni either kampuni mpya kushindwa kuendelea na biashara au kampuni kubwa zilizowahi kutawala kuendelea kupata hasara kutokana na ushindani kutoka kampun mpya...hivyo kupelekea kupoteza soko na hata kuuza ndege zao kbsa na kupunguza ajira, hasa hasa Kenya Airways, Rwanda airways na ethiopia ... kitakachomvusha kweny ushindan huu ni yule tu mweny business plan nzuri na yule atakaekubali kuendelea na biashara licha ya kupata hasara kipindi hiki cha ushindani. Wazo tu!!
kenya airways kurudi kwenye faida hio asahau tena sasa hvi atarudisha ndege za watu kwasababu kashaanza kupata ushindani mkali sana kutoka kwa majirani zake😀😀😀😀😀😀
 
View attachment 806493View attachment 806494View attachment 806495View attachment 806496View attachment 806497View attachment 806499View attachment 806500


sema nin... hii biashara ya usafiri wa ndege hapa East Africa imepamba moto sana... tutegemee ushindani mkubwa sana. Mambo yafuatayo yaweza kutokea ni either kampuni mpya kushindwa kuendelea na biashara au kampuni kubwa zilizowahi kutawala kuendelea kupata hasara kutokana na ushindani kutoka kampun mpya...hivyo kupelekea kupoteza soko na hata kuuza ndege zao kbsa na kupunguza ajira, hasa hasa Kenya Airways, Rwanda airways na ethiopia ... kitakachomvusha kweny ushindan huu ni yule tu mweny business plan nzuri na yule atakaekubali kuendelea na biashara licha ya kupata hasara kipindi hiki cha ushindani. Wazo tu!!
Hapa ndio uzalendo unahitajika sasa,siwez panda ndege ya jirani kama ndege ya ndani ipo na kwa safari ileile...
Cha msingi ni kila nchi iimarishe soko la ndani kuvutia watu wake kwanza...
Shilingi 1 ntaitoa tu pale ambapo kwetu tumeshindwa kutoa huduma husika...
Nyumbani kwanza ndio kauli mbiu...ma-connection yanaboa sana bora kila mtu apambane na hali yake!!
 
kenya airways kurudi kwenye faida hio asahau tena sasa hvi atarudisha ndege za watu kwasababu kashaanza kupata ushindani mkali sana kutoka kwa majirani zake😀😀😀😀😀😀

Tupo busy kuirudisha heshima ya linchi likubwa EAC kiuchum, utalii, miundombinu, viwanda, kilimo, Biashara et cetera.
 
waTZ mpo hampo? Hivi pesa yote mnatumia kufanya nini kama bado mko LDC?

Mnalia hapa ati ooh Kenya tuko na madeni za watu kumbe NYANI HAONI MAKALIO ukweli

Nimecheka sana. Nilidhani nyinyi ni watu wa kujitegemea. Watu wa kutumia pesa zao.

nyinyi mnapewa pesa lakini hamjinufaishi, nyinyi mnanua ndege na mabasi View attachment 806369

Kenya’s public debt load recently surpassed the 5 trillion shillings mark ($50 billion), renewing questions over the government’s borrowing binge, how it would show the proceeds in terms of economic growth, and whether it could repay these loans in the long run.

China now owns more than 70% of Kenya’s external debt
 
Back
Top Bottom