Waongezee na hizo pia hehhehe bongo of 2017
well planned and very modernized.Random Nairobi Pics
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
While others compare the size, we look at aesthetics..........Nairobi's clearly tops all the other cities in this aspect.
Wow!! Hatari lakini salama. Wakija hapa na picha zao zile zile. Unajua wanakuja kwa kuvizia.Waongezee na hizo pia hehhehe bongo of 2017
View attachment 492180 View attachment 492181 View attachment 492182 View attachment 492183 View attachment 492185 View attachment 492186 View attachment 492187 View attachment 492188 View attachment 492189 View attachment 492191 View attachment 492192 View attachment 492193 View attachment 492194 View attachment 492195 View attachment 492196 View attachment 492199 View attachment 492200
dadadeki....kama ulaya....picha nzuri sana.
Hakuna kitu watapost out of kenytta conference area hakuna kwan mm siijui nairobi hahahhahahahhaaWow!! Hatari lakini salama. Wakija hapa na picha zao zile zile. Unajua wanakuja kwa kuvizia.
ni kweli,kwa sasa wanakuja kwa kuvizia maana picha za maeneo yao wanayo amini ni mazuri nairobi karibia zote walisha zi-upload hapa.Wow!! Hatari lakini salama. Wakija hapa na picha zao zile zile. Unajua wanakuja kwa kuvizia.
Dar is a fastest growing city on planet hawawez kushindana NAyO kila Siku nawaambia dar ni kubwa tena kubwa sana kwa nairobi hata wachukue city zao tatu nairobi kisumu na mombasa hawaipati dar ukubwa alaf wanaleta ligi za kitotoni kweli,kwa sasa wanakuja kwa kuvizia maana picha za maeneo yao wanayo amini ni mazuri nairobi karibia zote walisha zi-upload hapa.
dar es salaam ni kubwa na project za ujenzi wa majengo mapya unaanzishwa kila leo na kwa kasi kubwa.
kwa hiyo utashangaa kila mwezi sisi tutakuwa na picha za majengo mapya yaliyokwishwa kamilika/yanayokaribia kukamilika.
Sasa hivi tunasubiria tu progress ya Ubungo, Tazara, Salenda Bridge na majengo mengi kibao. Mbona watakimbia humu JF!!ni kweli,kwa sasa wanakuja kwa kuvizia maana picha za maeneo yao wanayo amini ni mazuri nairobi karibia zote walisha zi-upload hapa.
dar es salaam ni kubwa na project za ujenzi wa majengo mapya unaanzishwa kila leo na kwa kasi kubwa.
kwa hiyo utashangaa kila mwezi sisi tutakuwa na picha za majengo mapya yaliyokwishwa kamilika/yanayokaribia kukamilika.
Nyumba fupi fupi hazihitajiki sasa. Nadhani baada ya miaka mitano makazi ya watu Dar yatakuwa safi sana.Nani amefika ilala hapa akaona nyumba za chini zinavopigwa nyundo yani sio mchezo ILALA magorofa yanajengwa kila Leo na mpaka 2020 ilala nzima itakua magorofa so hebu imagine ukubwa wa ilala hehhehhehe bongo iacheni hehhh