Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We umeelewa nn?? Nachoelewa ni kuwa Magu aliwahi kuchukua msichana huko Meru akaenda nae bongo na ana anadai kuchukua mwengine. Dude!
magufuli amemtania raila kua amuekee msichana wa ki meru atakuja kuoa wewe kipi hujaelewa hapo??
 
Mnabeba Hizo takataka za Azam Mombasa kujidai ni imported product na hata hajulikani.. Nkt!! Azam My Ass
A2C4B4C7-3D48-4867-89E6-5FF0E601D4F2.jpeg
 
ati azam....huhuhu.hiyo ilishindwa kupenya hata town moja ya Kenya.poor ldc tanganyika
 
Tanzanians kujeni hata mpime towns zenu hizo na zetu mtakubali mko nyuma kweli....hata malindi ni kubwa kuliko tanga but its not yet a city
 
Back
Top Bottom