Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wasee wa kung'ang'ana mashinani.

IMG_20180601_101019.jpg
IMG_20180601_100839.jpg
 
Wapi wamesema Dar ina ghorofa mingi kuliko Nairobi, kingereza kama kawaida kinakuchenga.
wapi wamesema nairobi kuna real estate nyingi kuliko dar😀😀😀😀 yani nairobi ishindane na dar kwa magorofa nenda kapimwe mkojo 😛😛😛
Jay456watt huyu ndugu yako alikiri na kukubali ukweli
 
awamu hii lazima wakenya wataisoma namba. walizoea kutuibia tanzanite yetu. shenztype.

viva tanzania...asante sana rais wetu JPM.

IMG_20180601_101617.jpg
IMG_20180601_101632.jpg
 
Kwanza hata apartments za Thika town pekee imetosha kufunika za darisalum....for Tanzanians who know Thika....ukihesabu zile ziko along the 50 km Thika road stretch hutawahi Maliza......then uende Rongai area or ngong...uingie kitengela.......then west of Nairobi....ndio uingie Eastlands baba yao.........my frens........
sawa chokoraa endea kujifariji
 
wapi wamesema nairobi kuna real estate nyingi kuliko dar😀😀😀😀 yani nairobi ishindane na dar kwa magorofa nenda kapimwe mkojo 😛😛😛
Jay456watt huyu ndugu yako alikiri na kukubali ukweli
estate zenyewe Hamna...ama ni kigamboni ndio mnajivunia
 
Uyo comedian anatumia kiswahili mbele ya hao wazungu kujoke ama?
anaitwa kaptain khalid.
ni international comedian from tanzania.
he is a multilingual person. he can speak german,english and kiswahili.

another question please.

btw. hakusoma kenya....amesoma tz.
 
Back
Top Bottom