Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hamwezi compete na nai man..enyewe dar imedevelop but hamtawai fikia nai man..mlichelewa
Unajiongelesha kijana...Dubai ya mwaka 2001 sio Dubai ya leo ambayo Dubai nzima wanaiongelea ....effort ndio kila kitu...miji mingapi ilikua mbele ya Dar? Sahivi macho kwa Dar ambayo zaman ilikua sio kitu? Dar will be the best braza Nairobi itabaki jina tu
 
Iyo jengo si refu man....sasa hi ya eldoret in 26 floors utacompare na hiyo..na hii ilishajengwa
094360780aa1780f6257cd7d1a14f05b.jpg
31acb5ca13ef82c5095e648070e31e21.jpg

Hii in eldi si Nai
 
Hamwezi compete na nai man..enyewe dar imedevelop but hamtawai fikia nai man..mlichelewa
Miaka ya juzi tu hata kampala ilitusumbua sahvi iko wapi? Nani anaizungumzia Kampala tena? Angalia namna Dar inavyokua inachukua kasi Ndio utaelewa wapi tunaelekea
 
Unajiongelesha kijana...Dubai ya mwaka 2001 sio Dubai ya leo ambayo Dubai nzima wanaiongelea ....effort ndio kila kitu...miji mingapi ilikua mbele ya Dar? Sahivi macho kwa Dar ambayo zaman ilikua sio kitu? Dar will be the best braza Nairobi itabaki jina tu
Dubai walipata bahati ya oil man..iyo yao ni special case..unajua mkigrow at 7% Kenya pia inagrow at 7% si ati tumesimama
 
Miaka ya juzi tu hata kampala ilitusumbua sahvi iko wapi? Nani anaizungumzia Kampala tena? Angalia namna Dar inavyokua inachukua kasi Ndio utaelewa wapi tunaelekea
Dar inakua kiaje...kujenga towers mbili ni kukua...ukiona kuattract investors ata Kigali inawachapa...yani kukua kwenu ni serikali kujenga towers mbili...Nairobi mega towers,hotels etc present & under construction ni kibao kushinda izo zenu..sasa jameni mtashikaje nai
 
TANZANIA NA UGANDA ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA

Tanzania na Uganda zimefungua sura mpya ya ushirikiano baada ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi hizo kusaini nyaraka inayoainisha maeneo mbalimbali ambayo nchi hizo zimekubali kushirikiana kwa pamoja ili kuinua uchumi wa mataifa yao.

Nyaraka hiyo iliyosainiwa leo jijini Arusha imetokana na Kikao cha Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na Uganda kilichofanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 03 Aprili 2017.

"Makubaliano haya yataongeza chachu ya uhusiano na ushirikiano wetu na Uganda, japokuwa tulichelewa kufanya kikao cha JPC tokea mkataba uliposainiwa mwaka 2007 nchini Uganda". Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga alisema alipokuwa akisoma hotuba ya kufunga.
MICHUZI BLOG: TANZANIA NA UGANDA ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA

DSC_0301.JPG
DSC_0246.JPG
DSC_0186.JPG
DSC_0313.JPG
 
TANZANIA NA UGANDA ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA

Tanzania na Uganda zimefungua sura mpya ya ushirikiano baada ya Mawaziri wa Mambo ya Nje wa nchi hizo kusaini nyaraka inayoainisha maeneo mbalimbali ambayo nchi hizo zimekubali kushirikiana kwa pamoja ili kuinua uchumi wa mataifa yao.

Nyaraka hiyo iliyosainiwa leo jijini Arusha imetokana na Kikao cha Tume ya Kudumu ya Pamoja ya Ushirikiano (JPC) kati ya Tanzania na Uganda kilichofanyika kwa siku tatu kuanzia tarehe 03 Aprili 2017.

"Makubaliano haya yataongeza chachu ya uhusiano na ushirikiano wetu na Uganda, japokuwa tulichelewa kufanya kikao cha JPC tokea mkataba uliposainiwa mwaka 2007 nchini Uganda". Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga alisema alipokuwa akisoma hotuba ya kufunga.
MICHUZI BLOG: TANZANIA NA UGANDA ZAKUBALIANA KUSHIRIKIANA

View attachment 491876 View attachment 491877 View attachment 491878 View attachment 491879
Ushirikiano ki2 mzuri...ushirikiano mzuri kabsa itakua na kenya
 
Iyo jengo si refu man....sasa hi ya eldoret in 26 floors utacompare na hiyo..na hii ilishajengwa
094360780aa1780f6257cd7d1a14f05b.jpg
31acb5ca13ef82c5095e648070e31e21.jpg

Hii in eldi si Nai
Kwikwikwikwi!!! Sasa hivi mnasoma namba. Dar ndiyo inang'oa nanga hivyo. Bye Nairobi!!! Kwikwikwikwi.
 
Dar inakua kiaje...kujenga towers mbili ni kukua...ukiona kuattract investors ata Kigali inawachapa...yani kukua kwenu ni serikali kujenga towers mbili...Nairobi mega towers,hotels etc present & under construction ni kibao kushinda izo zenu..sasa jameni mtashikaje nai
Acha kuzingua kijana,vitu vya msingi vilivyokatika plan ni brt phase 2,3.daraja kutoka oysterbay hadi aghakhan km7 juu ya bahari...kutengeneza rings road za kuzunguka mji,muhimbil mloganzila iko tayari,electric train ambayo itaanza soon,umeme wa uhakika kinyerezi 2 and 3 vituo cha kufua umeme wa gas asilia, real estates inakua kwa kasi viwanda nje ya mji na nk
 
Back
Top Bottom