Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wema Sepetu
sepetu.jpg
 
Mariga ana nyimbo gani au movie gani ?? 😀😀
mwenzako jana alikuja na mapepe na Comedians. alipoletewa Comedians wa Kenya akaanza kutapatapa kama kuku imekatwa shingo. pitia kurasa za nyuma umwone vile alivyopotezea
 
UKO SURE ANAKODI😀😀 Watu wako na magari na manyumba in and outside kenya...ako na nyumba switzerland na magari huko
bwege wewe unaonesha magari mengine picha ya gari tu nani ataamini ni lakwake???
 
Yezzir! Ulitaka iwe na numberplate ya Kenya wakati anaishi Spain?
uhahaha wewe usilete ufala weka ya kenya kwan umeona tumepost magari ya samatta ya belgium humu unaleta ujinga hapa😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom