COLLOH-MZII
JF-Expert Member
- Mar 30, 2017
- 722
- 297
Sasa kama ni super unataka tuiiite highway tu...ebu google maana ya super highway.hahaha wanajipambaga ujinga Hawa. ..chochote kutoka kwao ni super![]()
Sasa kama ni super unataka tuiiite highway tu...ebu google maana ya super highway.hahaha wanajipambaga ujinga Hawa. ..chochote kutoka kwao ni super![]()
Nyie kila kitu cha kwenu ni super ndio shida sasa...hadi vikitu vya kijinga mnajipamba. ..mnajiona watamuuSasa kama ni super unataka tuiiite highway tu...ebu google maana ya super highway.
Thika road iko na 10 lanes...so hakuna jina ingine ila ni super highway amaukipenda mega highway....Nyie kila kitu cha kwenu ni super ndio shida sasa...hadi vikitu vya kijinga mnajipamba. ..mnajiona watamuu
Naona ichoboy anasumbua vichwa vyenu hahhahaha nitawaharia mpaka mwisho hahhahahahahhahaaha sifa za nini kila kitu chenu tu hahhaahahhahahahah labda muwadanganye jamii forum sio Mimi This is ichoboy....talks a lot of nonsence yet he is lucky to be among the 3 million internet users in tz...sasa wenye wako mashambani tz si ni mazishi tu![]()
10 indeedThika road iko na 10 lanes...so hakuna jina ingine ila ni super highway amaukipenda mega highway....
Sasa kavuna tafuta picha kamoja ka dar ivi utasumbua nani na kelele za vuvuzelaNaona ichoboy anasumbua vichwa vyenu hahhahaha nitawaharia mpaka mwisho hahhahahahahhahaaha sifa za nini kila kitu chenu tu hahhaahahhahahahah labda muwadanganye jamii forum sio Mimi 
😀😀😀😱😀😀
View attachment 491137
Mm hua najiuliza kwann kila kitu hua ni waongo nyie munakua waoga kudanganya watu haya nioneshe hio 10 lanes ya thika road hahahhaha au unajifurahisha nafsi yako hahahhaah sifa za nini ndio maana munakufa maskini😀😀😀Thika road iko na 10 lanes...so hakuna jina ingine ila ni super highway amaukipenda mega highway....
Thika road hadi muthaiga ni 10 lanes fala hii...alafu inakua 8 lanes hady thika then 6 lanes hady kenol...ata nimepitia huko leoMm hua najiuliza kwann kila kitu hua ni waongo nyie munakua waoga kudanganya watu haya nioneshe hio 10 lanes ya thika road hahahhaha au unajifurahisha nafsi yako hahahhaah sifa za nini ndio maana munakufa maskini😀😀😀
View attachment 491146
Uhahahhahahaha taxi za city nayo ijadiliwe bungeni hahhahhahahahah Maana hio nayo imeingia kwnye record ya dunia 😀😀😱😀😀😀😀This battle is over
Nairobi imeshinda kama kawa
Rip Anal,kadoda11 na ichoboy
Dar next time linganishaeni na Mogadishu
Na vita hamwezani pia muachane .
Naona mmetoroka timeline hivi after kulemewa kwanza anal![]()
Hahhhhahahahaha Google Leo waongo kila siku Google inawaonea wakenya wazee wa sifa hahahahhahahahha wazee wakuhamisha visivo hamishika😀😀😀😀😱😱😀😀😀Thika road hadi muthaiga ni 10 lanes fala hii...alafu inakua 8 lanes hady thika then 6 lanes hady kenol...ata nimepitia huko leo
Tumia akili man...ulipewa akili kufikiria usiitumie ka mwavuli wakati kunanyesha ama jua ukiwa kaliUhahahhahahaha taxi za city nayo ijadiliwe bungeni hahhahhahahahah Maana hio nayo imeingia kwnye record ya dunia 😀😀😱😀😀😀😀View attachment 491147
Safari hii mumebanwa kila kona na dar hahahha hakuna sehemu mumetoboa hata moja hahhahhaha dar tamuuuuuuuuu😀😀😀😀😀😀😀😀😀Sasa kavuna tafuta picha kamoja ka dar ivi utasumbua nani na kelele za vuvuzela![]()
Safari hii mumebanwa kila kona na dar hahahha hakuna sehemu mumetoboa hata moja hahhahhaha dar tamuuuuuuuuu😀😀😀😀😀😀😀😀😀
😀😀😀😀😀 akili ninayo ndio maana nasema ukweli bongoooooooo hatari sana naona imewatesa sana.....sifa baby zinawaua hahahahahahaTumia akili man...ulipewa akili kufikiria usiitumie ka mwavuli wakati kunanyesha ama jua ukiwa kali![]()
Mmetushinda nakubali......kwa % ya wa2 wanastayisha slum 70%Safari hii mumebanwa kila kona na dar hahahha hakuna sehemu mumetoboa hata moja hahhahhaha dar tamuuuuuuuuu😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Google waongo hahahahah hayo kaandika nani Kenyatta au wamendika watu wenye sifa ya uongo kama wewe hahahahahahah acha kucheza na urban city with 1590 km sq utajiumiza bure bado huna kifua
with this statement,you have real embarrased yourself...iyo old cbd hakuna mtu anaiangalia tena..tuko kilimani ,upperhill na westlands sasaUsipoona kenyata conference hio sio nairobi hahahahhaha ni hapo tu hakuna sehem nyingine