NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,382
- 17,965
ngoja sote wanaosema hili jengo ni 35fl au 40fl kwa pamoja tuondoe utata! maana mwenyewe nataka nijue ukweli...
tuanze, mpaka hapo kweny hili jengo ulilopost... kutoka chin mpka kweny hio rangi ya njano kwa chini kuna floors 16, right?
then ongezea na hiz floors kuanzia kweny yellow mpka juu kabsasote tujue kuna floors ngap!
aliyehesabu hatujuze ziko ngap!!View attachment 773290
Hilo hapo.............Wabongo na kuongeza floors kwenye jengo.
... kutoka chin mpka kweny hio rangi ya njano kwa chini kuna floors 16, right?
sote tujue kuna floors ngap!