Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ngoja sote wanaosema hili jengo ni 35fl au 40fl kwa pamoja tuondoe utata! maana mwenyewe nataka nijue ukweli...

tuanze, mpaka hapo kweny hili jengo ulilopost ... kutoka chin mpka kweny hio rangi ya njano kwa chini kuna floors 16, right?
then ongezea na hiz floors kuanzia kweny yellow mpka juu kabsa sote tujue kuna floors ngap!

aliyehesabu hatujuze ziko ngap!! View attachment 773290

Hilo hapo.............Wabongo na kuongeza floors kwenye jengo.
39914494852_aea2538091_b.jpg
 
Mombasa-Kenya

Saving time the Kenyan way.

Cargo Trains will meet Cargo Ships in the ocean allowing cargo to be loaded straight from ships into the train wagons !

First in Africa.

7092052_dispatch9_jpeg221c9671a86fb28c6f525dc2a3254ec1


7092053_dispatch6_jpeg24c85601fca4e1bedd9d41336ad6df5a


7092054_dispatch4_jpeg12215f7444fcce2c0c10c9bcf8ee0675


7092055_dispatch16_jpega169a9990a7230ddb1114d1263f64682


7092069_dispatch12_jpeg11e2aa136ef7252042395d45d8692edd


7092070_dispatch10_jpeg1eeab84c4b3f492a3c198b6269f9c26c


7092071_dispatch_jpegb76175fd8ca6500a14628fc8d6bd46df


7092072_dispatch11_jpeg67d9f483e28df99ddb1036fa4c3035ba
 
Mombasa-Kenya

Saving time the Kenyan way.

Cargo Trains will meet Cargo Ships in the ocean allowing cargo to be loaded straight from ships into the train wagons !

First in Africa.

7092052_dispatch9_jpeg221c9671a86fb28c6f525dc2a3254ec1


7092053_dispatch6_jpeg24c85601fca4e1bedd9d41336ad6df5a


7092054_dispatch4_jpeg12215f7444fcce2c0c10c9bcf8ee0675


7092055_dispatch16_jpega169a9990a7230ddb1114d1263f64682


7092069_dispatch12_jpeg11e2aa136ef7252042395d45d8692edd


7092070_dispatch10_jpeg1eeab84c4b3f492a3c198b6269f9c26c


7092071_dispatch_jpegb76175fd8ca6500a14628fc8d6bd46df


7092072_dispatch11_jpeg67d9f483e28df99ddb1036fa4c3035ba
Nice hii ni kitu cha msingi sana
 
Compare the quality of seats then uongee. Hizo za parliament yenu zinakaa za receptionist while zetu zinakaa za mdosi mwenyewe. 😀😀😀 BTW both parliaments were designed by the same Kenyan.
THE FUNNY THING HAO WALI IMPORT ZETU ZILITENGENEZWA KAMITI MAXIMUM PRISON KENYA
 
Soma maandishi vizur acha mawenge!!
Na ndio utuonyeshe iyo unayosema iko Nbo isiwe ni proposed project unazungumzia hapa
Did you forget that the tallest tower at Avic (43 floors) will house the Marriott hotel international? Nakuambia number mtasoma kabisa
 
ovyooo kbsa...mbona hujaanzia hapo chini ya moja yako? kumbuka jengo limeanzia level ya chin usawa na hilo gari kwa nje...so ungeanza na moja hapo chini ulipoweka wew moja... na pia kule juu hapo haikuwa mwisho ndio mana nilikuambia anza kuhesabu mpka yellow then umalizie yellow kwenda juu kwa jengo lililokamilika
Jifunze jinsi gorofa zinavyohesabiwa kwa jengo ndio uniquote.
 
Miguna atakua anafuatilia project Za dar zimemshtua...Daraja la 2.9km kwa ajili ya sgr ndani ya jiji na BRT phases zinakuja ongezeka akikumbuka matatu ya pale Nbo lazima ajionee huruma
Pia kuna swala la Tram, light rail jijini Dar es salaam.
 
Back
Top Bottom