ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
kilo ya nn??? hebu eleza kilo ya nini??? bidhaa gani?Nipanic wakati unanunua kilo moja Ksh450 na Mimi nanunua Ksh 80?
kilo ya nn??? hebu eleza kilo ya nini??? bidhaa gani?Nipanic wakati unanunua kilo moja Ksh450 na Mimi nanunua Ksh 80?
heheh anajidanganya times 38 wakati ni 30fl😀😀Hahaha hebu weka picha ya jengo hilo tuhesabu hizo fl
not less than 38ngoja sote wanaosema hili jengo ni 35fl au 40fl kwa pamoja tuondoe utata! maana mwenyewe nataka nijue ukweli...
tuanze, mpaka hapo kweny hili jengo ulilopost... kutoka chin mpka kweny hio rangi ya njano kwa chini kuna floors 16, right?
then ongezea na hiz floors kuanzia kweny yellow mpka juu kabsasote tujue kuna floors ngap!
aliyehesabu hatujuze ziko ngap!!View attachment 773290
Wewe umehesabu ukapata ngapi? Tuwache ubishi za kijinga. Hilo jengo ni 35 floors na aliye na macho hapaswi kupinga hilongoja sote wanaosema hili jengo ni 35fl au 40fl kwa pamoja tuondoe utata! maana mwenyewe nataka nijue ukweli...
tuanze, mpaka hapo kweny hili jengo ulilopost... kutoka chin mpka kweny hio rangi ya njano kwa chini kuna floors 16, right?
then ongezea na hiz floors kuanzia kweny yellow mpka juu kabsasote tujue kuna floors ngap!
aliyehesabu hatujuze ziko ngap!!View attachment 773290
Hahaha...mnafurahisha kweli. Sasa imetoka 40+ imerudi 38!!not less than 38
Ubishi mnapenda sana hata kwa vitu zilizowaziheheh anajidanganya times 38 wakati ni 30fl😀😀
Ubishi mnapenda sana hata kwa vitu zilizowaziheheh anajidanganya times 38 wakati ni 30fl😀😀
times haizidi 30fl we usitufanye sisi wajinga sanaUbishi mnapenda sana hata kwa vitu zilizowazi
Times Tower in Nairobi, Kenya
Times Tower, Nairobi | 103391 | EMPORIS
‘Times Tower’ built to be earthquake proof
Kubali yaishe
Jpm kamwaga bill250View attachment VID-20180511-WA0013.mp4Dar Es Salaam- Kisutu Modern Market Coming SoonView attachment 773043View attachment 773042View attachment 773044View attachment 773045
Wewe unaishi mwananyamala Dar mimi naishi Nairobi sasa mbona tubishane? I have been to the 35th floor of that building so usijifanye unajua kuhusu hilo jengo kuniliko mimi mkaazi wa Nairobi. Kama nimekupa links tatu usome na bado unapinga sasa unataka aje?times haizidi 30fl we usitufanye sisi wajinga sana
na hili swala la times tower lishazungumziwa humu mara nyingi sana
hesabu vzr usiwe mjinga kwenye kila kitu, usifkiri kila siku ni ijumaa😀😀😀😀 nakwambia times haitakua na 38 mpaka yesu anashuka hakuna mtanzania mjingaWewe unaishi mwananyamala Dar mimi naishi Nairobi sasa mbona tubishane? I have been to the 35th floor of that building so usijifanye unajua kuhusu hilo jengo kuniliko mimi mkaazi wa Nairobi. Kama nimekupa links tatu usome na bado unapinga sasa unataka aje?
Kukubali ni hiari yako ila ukweli Itabaki pale pale mpaka Yesu arudihesabu vzr usiwe mjinga kwenye kila kitu, usifkiri kila siku ni ijumaa😀😀😀😀 nakwambia times haitakua na 38 mpaka yesu anashuka hakuna mtanzania mjinga