Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

bro tandale hakuna nyumba ya udongo au nyumba ya mabati nyumba za tandale ni za block 😀😀😀
ila wakenya munaishi kimaigizo
unasema hivo kujifurahisha au???? 😀
90% of dar is slum imejaa nyumba za mabati 😀😀😀 uswahilini yaani..... mabati yameshika kutu mpaka basi... alafu nyumba za udongo ndio usiseme... tumieni tiles kwa roof

kisha muwache kutumia kuni kwa kupikia maana ule moshi sio mzuri kwa afya
 
unasema hivo kujifurahisha au???? 😀
90% of dar is slum imejaa nyumba za mabati 😀😀😀 uswahilini yaani..... mabati yameshika kutu mpaka basi... alafu nyumba za udongo ndio usiseme... tumieni tiles kwa roof

kisha muwache kutumia kuni kwa kupikia maana ule moshi sio mzuri kwa afya
siku ukipata kwa google earth neno slum in dar nitag bro usiache

siku ukipata nyumba ya mabati dar nitag😀😀😀

we hujui kama 70% ya gas munayotumia inatoka tanzania alaf unatufundisha sisi sasa hvi tuna connect bomba za gas kwenye nyumba za watu😛😛
 
siku ukipata kwa google earth neno slum in dar nitag bro usiache

siku ukipata nyumba ya mabati dar nitag😀😀😀

we hujui kama 70% ya gas munayotumia inatoka tanzania alaf unatufundisha sisi sasa hvi tuna connect bomba za gas kwenye nyumba za watu😛😛
lols 😀
download-18.jpeg
 
Hahaha..... Aty Tz commando na hats Tz hakuna vital wamewahi kanyaga.... Nkt COMANDO WA SHOWGROUND..... VITA ACHIA KDF BANA TZ HAKUNA JESHI HUKO LABDA watchmen
nenda kaulizie uhuru wa south africa, mozambique, zimbabwe, zambia, rwanda, burundi, uganda, malawi, congo na angola alaf uje nikufundishe vzr
 
zanzibar stadium naomba nioneshwe uwanja kama huu ukitoa nairobi nasubiria😀😀😀😀
B1364D89-6218-4AD0-862C-546CE30BA3FE.jpeg
 
Wewe it seems hujui ndege😀😀😀 A380 is the largest passenger plane in the world😀😀 Unaishi ushago ?? 😀😀 Mwaswast huyu mlevi umemuokata wapi ?? 😀😀
So?? We VILE UNAPIGA MDOMO HAPO USHAWAHI PANDA NDEGE KWELI... I MEAN USHAWAHI ONA NDEGE...??? AS FOR ME NIKO LANGATA DAM ESTATE NIKIPANDA BALCONY NAZIONA HAPO INJE YA FENCE ZIKIWA WILSON....... TZ NI USHAGOO YOOTEH SO HAKUNA KENUE UNAEZA NIFUNZA MIMI
 
anhaa slums ikose landmark heheh mbona kibera inayo landmark na inatambulika duniani kote😀😀😀
😀😀😀 pengine sijui landmark ni nini 😀😀😀

btw Kibera ipo na sikatai. ni ndogo sana aisee.... 5sqkm. iko kivyake.... kama unajua what "zoning" is. hata Hong Kong pia kuna slums.

kuna tofauti ya 'slum' na 'slum city' tafakari
 
😀😀😀 pengine sijui landmark ni nini 😀😀😀

btw Kibera ipo na sikatai. ni ndogo sana aisee.... 5sqkm. iko kivyake.... kama unajua what "zoning" is. hata Hong Kong pia kuna slums.

kuna tofauti ya 'slum' na 'slum city' tafakari
ndogo eti how come inakua the biggest slum in the world😀😀😀😀😀 akili ni nywele zitumie

na chaajabu sijawah kukutana na slum in dar even top 500 slums in the world ???😛😛😛😛
 
Back
Top Bottom