Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bagamoyo port kutamuuuu..
View attachment 490419 .
Hio ndio construction ya bagamoyo port usishtuke lakini😀😀😀😀😀😀😀😀
Screenshot_2017-04-02-21-14-05.png
 
Huna habari ujenzi ulishaanza?
Wawekezaji tayari washaanza kutiririka
Hamuna pesa 2 trillion ksh mujenge bandari wakati munanjaa sasa hvi munaomba msaaada wa pesa ya chakula na pesa ya budget hahahahaha😀😀😀😀😀
 
😀😀😀😀 kua mpole acha mapepe utajua itakapokamika ndipo utajua ilikua imefika wapi unafkiri sisi tunataka sifa
hahaaa....hadi vizazi vyenu vijavyo mtakua mnakimbiza kenya.mko nyuma yetu daily
 
ndg. zangu watz mnaofanya safari za kibiashara au metembezi ya kawaida jijini nairobi,mfahamu kuwa usalama wa raia na Mali zake ni mdogo sana na matukio ya kihalifu ni mengi kuzidi dar.

niliwahi kuwa na mjadala na wakenya kuhusu sababu za jiji hilo kuwa na kiwango kikubwa cha matukio ya kihalifu,wakadai eti hicho ni kigezo kimojawapo cha kuonyesha mji wao umepiga hatua kimaendeleo.

kwamba hata newyork na Washington hali ni hiyo hiyo (wenyewe kwa ujinga wao wanaifananisha Nairobi na hiyo miji).

ukweli ni kwamba ugumu wa maisha, umasikini uliokithiri na kuwepo kwa gap kubwa kati ya matajiri na masikini kwa wakazi wa Nairobi, ndio chanzo kikuu cha matukio ya kikora yanayo pelekea kufanyiana unyang'au wa kutisha baina yao.

Hili ni tukio latest la kutisha lilitokea juzi pale Eastleigh.tafadhali, tazama video.
2c13edcb583dcd985906fcbffed67ab1.jpg


 
Si bagamoyo, hiyo ni picha mfano tu muandishi ametumia, huoni akisema construction to start next month! Haijengwi hiyo kitu hata
Hhahhahaaha hataki sasa enhhhhhh
😀😀😀😀😀😀😀
Screenshot_2017-04-02-21-21-51.png
 
a6321c25fe338eceba9b4b088a7f8631.jpg

Soma hiyo na uache kutuletea nyenyenye.....bagamoyo was abandoned dude
Ilisimama kwa muda na sasa inaendelea coz maelewano na contractor hayakua mazuri na sahiiii kama kawa kaz ju ya kaz aahhahahhahahaha naona sasa mko speed sana hahahha taratibu mutaelewa tu
 
Ilisimama kwa muda na sasa inaendelea coz maelewano na contractor hayakua mazuri na sahiiii kama kawa kaz ju ya kaz aahhahahhahahaha naona sasa mko speed sana hahahha taratibu mutaelewa tu
That project was unviable sasa 20 million cargo wakati danganyika mzima inachukua 500000
 
yaani chhoboy hajui kua bagamoyo ilikua suspended...kwani unaishi eritrea
 
That project was unviable sasa 20 million cargo wakati danganyika mzima inachukua 500000
Leta link hehehhe Tanzania ina serve 7 countries usifkiri ni dar pekeake ndio inafanya kazi kuna tanga port. kuna mtwara port zote zinafanya kazi, Zanzibar port hhahaahahah 70% cargo of Congo inapita dar, 90% Zambia, 90% Malawi, Rwanda, Burundi na Uganda hahhahahahahhaa
 
yaani chhoboy hajui kua bagamoyo ilikua suspended...kwani unaishi eritrea
Ilismama kwa muda na sasa inaendelea kma lamu port ilivosmama hamuna pesa hhahhaahahaha mbona hilo hulijui sasa 😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom