Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

vichwa vimejaa uji😀😀😀😀😀😀
chako kimejaa vumbi la chaki😀😀😀
wasaidieni kulipa hao😛😛😛😛
C2B6D9D7-5135-4A28-887F-53A35394A872.jpeg
 
Hebu waambie Sinza ndio sehemu ipendwayo na majirani zetu wa Kenya....
na si tuu hao Sinza kumejaa watu wa Congo DR, Zambia, Nigeria, Malawi, Uganda

Ndio sehem pendwa kwa vijana wa mjini kuna lifestyle flani hvii amazing kwa ajili ya maisha ya kijana wa kisasa...

Vijana wengi was Dar wasipoanza maisha Sinza basi ataenda K'nyama....

Hawajahi kuiskia Sinza humu ndani
 
Hebu waambie Sinza ndio sehemu ipendwayo na majirani zetu wa Kenya....
na si tuu hao Sinza kumejaa watu wa Congo DR, Zambia, Nigeria, Malawi, Uganda

Ndio sehem pendwa kwa vijana wa mjini kuna lifestyle flani hvii amazing kwa ajili ya maisha ya kijana wa kisasa...

Vijana wengi was Dar wasipoanza maisha Sinza basi ataenda K'nyama....

Hawajahi kuiskia Sinza humu ndani
na sinza ndio sehemu yenye club nyingi na kumbu za starehe nyingi sana na ndio sehemu vijana wengi hupendelea kwani kuna life style ya kipekee zaidi
 
na sinza ndio sehemu yenye club nyingi na kumbu za starehe nyingi sana na ndio sehemu vijana wengi hupendelea kwani kuna life style ya kipekee zaidi
Wameniboa tu kila mahal frame..sinza ilikua designed zaidi makazi ya watu sio na sehemu za biashara...but Ni pametulia sio bad
 
napenda vile huyu presenter wenyu alivyo na bidii ya ku-share information za wasanii wa tz. [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
IMG_20180409_232455.jpg
 
alaf nimsikie mpuuzi yoyote anaongealea kuhusu marina hotel ya mombasa kiboko yake hii hapa

sheikh hiyo kitu ni hatari sana. inaitwa hotel verde.inafunika hotel zote za east africa.

i was there some few weeks ago.
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
26fd528b02683552763aef342d89d3f9.jpg
Point%20Blur_Apr092018_233554.jpg
Point%20Blur_Apr092018_233619.jpg
Point%20Blur_Apr092018_233724.jpg
Point%20Blur_Apr092018_233657.jpg
 
Nakuona lizee la miaka 60 lakini mwili wa miaka 20. Hatari sana.
hahahaha jizee la miaka 60 ila lina kamwili kadogo.

nasubiri mapovu ya wivu toka kwa wakenya watakopo ona hizo picha zangu.

ila mimi napenda sana ninavyo mudu kucheza na akili ya hawa wakenya vilaza wa jf. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom