swali unalouliza ww ndilo hilo nimekuuliza ??unapiga chenga sana ila wacha nukuwie radhi tu..nikiendelea kusukuma hivi utaanza kulia machozi hapaπππdalili nimeshaiona..
wikipedia bro hebu kua serious narudia nileteeee official link kua JKIA inapokea passenger 8m ukiniletea ww ni mwanaumeπππππ
ππππnaona vyuma vimekaza kweli..umeniitisha link nikakupa sasa unalalamikaπππmimi najua kukuhandle browikipedia bro hebu kua serious narudia nileteeee official link kua JKIA inapokea passenger 8m ukiniletea ww ni mwanaumeπππππ
wikipedia ndio link si hata mm naeza kubadilisha figures hapaππππ huwez bro na this time mutaumia sana huyu magu sijui kama mutatoboa jamaa hatariππππnaona vyuma vimekaza kweli..umeniitisha link nikakupa sasa unalalamikaπππmimi najua kukuhandle bro
My brother ichoboy si kila post ya MTU lazima u reply nyingine hazina hadhi yakuwa replied.wow hasira zimepanda sasaππππ
ebu mchanue mwenzakoMy brother ichoboy si kila post ya MTU lazima u reply nyingine hazina hadhi yakuwa replied.
nafahamu sana bro huyo anajulikana mbona ni mmoja ya wakenya wenye machungu makali sana πππMy brother ichoboy si kila post ya MTU lazima u reply nyingine hazina hadhi yakuwa replied.
Wenyewe wanamkimbia mwenzao mkikuyu hata hawataki Ku m quotenafahamu sana bro huyo anajulikana mbona ni mmoja ya wakenya wenye machungu makali sana πππ
Nyie ile ma ghost Town built with large amount of money from tax payers unasifia Airport nzuri without passengers Unasifia airport .[emoji23] [emoji23] [emoji23] Dππ Do you know Value for money kweli wewe??leta mwanza tabora kigoma etc πππmimi ninavojua mwanzza kuna kibanda cha mabati nyekundu kimeandikwa welcome mwanza airport hapo juu
Nimemuachaebu mchanue mwenzako
hivi unajua aiport za Kenya zinahandle passengers kiasi gani wewe? kisha nikikuuliza aiport za kilimanjaro na Dar zilizo modrn angalau kidogo zinawasaidia kivipi bas saabbu watalii wenu wote wanabebwa na ndege za ng'amboπππNyie ile ma ghost Town built with large amount of money from tax payers unasifia Airport nzuri without passengers Unasifia airport .[emoji23] [emoji23] [emoji23] Dππ Do you know Value for money kweli wewe??
Hapa imeniuma kama vile ni nchi yangu.Si wanajisifu hawa wako juu Yetu imekuaje wamaepigwa Dπ π π Poleni sana4b usd msa to nairobi mchina aisee wameambulia stations tu vilivobakia ni shombo la samakiπππ
View attachment 737272
ukimwona ana quote kila comment bila shaka jua hana cha kusema huyoππmimi namfaham vizuriNimemuacha
Cc: mkikuyu akili timamu
ebu leta tz railway bas tuone yenu ilio boraππππHapa imeniuma kama vile ni nchi yangu.Si wanajisifu hawa wako juu Yetu imekuaje wamaepigwa Dπ π π Poleni sana
Kisa anawapa makavu live !ukimwona ana quote kila comment bila shaka jua hana cha kusema huyoππmimi namfaham vizuri
Kisa yupi huyo nimwone ππππKisa anawapa makavu live !
Wakenya wote mnafyata mkia ,hadi kina Colo mz na mwaswast pamoja na lugha zao chafu wananyoroshwa
Unajifanya hujui smh!Kisa yupi huyo nimwone ππππ
Mkikuyu akili timamu katoka kutuambia Maghost Town kama yale ya Inner Mongolia kule China utatuambia nini wewe Dπ π π Kubali ni Maghost town hakuna Ubayahivi unajua aiport za Kenya zinahandle passengers kiasi gani wewe? kisha nikikuuliza aiport za kilimanjaro na Dar zilizo modrn angalau kidogo zinawasaidia kivipi bas saabbu watalii wenu wote wanabebwa na ndege za ng'amboπππ