Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

arrivals hazijafika hata mil 2 mtu anajigambaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ama kweli ukistaajabu ya musa utayaona ya Firauni...JKIA arrivals ni mil 8 Mombasa airport ni mil 1.5
endelea kulia tu kama kawa πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
hakuna siku upo bila kilio wewe
kwaa taarifa nayokupa JNIA kwa sasa ina handle over 3m passengers na imezidiwa kabisa ndio maana giant terminal 3 iko katika hatua za mwisho kumbuka terminal 3 will handle 7.2m passengers keep it in ur mind the modern terminal building in east and central africa ambayo ime cost 560m usd
 
train station ya Nairobi tu inawatia aibu in terms of infrastructure na hata arrivals...airport haijafika hata arrivals mil 2 mtu anaimba imba hapa wakati joburg ina handle mil 20...JKIA ina handle mil 8...addis ababa ina handle mill 9...Cairo mil 20
8 ni ndoto kwenu tena hio sahau JKIA ina handle 4.5m to 5m only naomba niletee official link of 8m
 
Give us the traffic numbers to this white elephant built by tenderprenures
naomba unioneshe direct passenger flights to isiolo am waiting broπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

ukiniletea ww mwanaume kweli umetairiwaπŸ˜›πŸ˜›
 
hahahaha wako wapi hao passengers...nimekwambia 2 mil tu sio kitu ya kujigamba...hata kibanda ya mama mboga tu inapata watu zaidi ya hao kwa mwakaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
let me give you a taste of modernity...mind you, this is just a train station..not an airport
ww ukishindwa point hua unakumbilia stations wtf mchina kitu aliwajengea hapo ni stations tu reli na train zote zilitoka beijing museum zilizotumika 100yrs ago yani kwenye ile 4b usd mkopo wa mchina msa to nai mliambulia stations tu

ila mchina ni mwanaume kweliπŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜€kilio cha chura kwenye mtaroπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€kwani nimedanganya bro? hio trains station imezidi vibanda vyenu vya kukuπŸ˜€πŸ˜€ama nlete picha tufananishe? si unajua ni aibuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
hahahaha wako wapi hao passengers...nimekwambia 2 mil tu sio kitu ya kujigamba...hata kibanda ya mama mboga tu inapata watu zaidi ya hao kwa mwakaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
uwezo wake ni 2.5m lakini imeshazidiwa mpaka sasa ina handle over 3m passenger ndio maana wanaharakisha giant imalizike mapema ili international flights zote zihamie huko na terminal two kumbuka ila under go huge maintenance na wafaransaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
giant ipiπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€...ikwapi?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜€kilio cha chura kwenye mtaroπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€kwani nimedanganya bro? hio trains station imezidi vibanda vyenu vya kukuπŸ˜€πŸ˜€ama nlete picha tufananishe? si unajua ni aibuπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
mm nshakujulia mbona ukiishikwa tu kidogo unakumbilia station yani hu unanifurahisha sana mbona treni hzo na reli huonesh πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mchina kiboko aisee
 
mm nshakujulia mbona ukiishikwa tu kidogo unakumbilia station yani hu unanifurahisha sana mbona treni hzo na reli huonesh πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ mchina kiboko aisee
wacha hata treni station bro...airport nimekwambia hata ya isiolo ni bora kuliko vibanda vyenu...ila sitaki niwaaibishe leo weekendπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…