Bottas
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 1,817
- 1,142
Wacha kuumwa kakaOnly 10 buildings
Wacha kuumwa kakaOnly 10 buildings
Hakuna haja ya maumivu😀😀😀😀😀Utadhani pamepigwa radi smh!
Upanga is enough to finish this bullshit and Mombasa cbd combined!
Shenzi kabisa kwahiyo kusema ukweli ndio kuumwaWacha kuumwa kaka
Ukweli mchungu!Hakuna haja ya maumivu😀😀😀😀😀
SOME of them were Tanzanians living in Nairobi coming back for holidays in the country. Others were Kenyans wishing to spend the Easter Weekend in Arusha. The travellers overcrowded the Namanga border post in Longido District.Visitors overcrowd Namanga post
Wakenya wazidi kuikimbia nchi yao na kuzidisha mapenzi kwa Tanzania, karibuni sana kisiwa cha amani, njoo mjifunze jinsi ya kuishi kwa kupendana na kuvumiliana
Every person would love to visit Tanzania when gets timeSOME of them were Tanzanians living in Nairobi coming back for holidays in the country. Others were Kenyans wishing to spend the Easter Weekend in Arusha. The travellers overcrowded the Namanga border post in Longido District.

Marusi ya nini tena?Shenzi kabisa kwahiyo kusema ukweli ndio kuumwa
Matatizo ya kunywa maziwa ya mbwa ndio haya
Marusi ndio nini?Marusi ya nini tena?
Tanzania is a cheap country ni kama nitoke hapa niende Malawi ama CAR I am sure nitapata place affordable unlike trying Nigeria or South Africa. Cheza na hii hapa daddy.Every person would love to visit Tanzania when gets time![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hahahaha, kwanini msiende Uganda au Ethiopia au South Sudan?, kitu kilichonivutia zaidi ni kuona hata nchi kama Burundi pamoja na matatizo yao yote ya uchumi, lakini wanawekeza ili kuja kuitembelea Tanzania. Hii bullet train ikianza kazi ninahisi nusu ya populations za Rwanda na Burundi watatembelea Tanzania kila mwakaTanzania is a cheap country ni kama nitoke hapa niende Malawi ama CAR I am sure nitapata place affordable unlike trying Nigeria or South Africa. Cheza na hii hapa daddy.
![]()
Swahili plays a major role babaa...Wakenya wengi hawaelewi Kirundi, French au Amhara but Swahili tunaelewa.Hahahaha, kwanini msiende Uganda au Ethiopia au South Sudan?, kitu kilichonivutia zaidi ni kuona hata nchi kama Burundi pamoja na matatizo yao yote ya uchumi, lakini wanawekeza ili kuja kuitembelea Tanzania. Hii bullet train ikianza kazi ninahisi nusu ya populations za Rwanda na Burundi watatembelea Tanzania kila mwaka![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Visitors overcrowd Namanga post
matusiMarusi ndio nini?
Mbona Burundi wanatembelea Tanzania kama lugha ndiyo kikwazo cha wao kuja Kenya au Kenya kwenda Burundi?. Uganda wanazungumza English, kwanini msiende kutembelea Uganda?. Kila mtu angependa kutembelea nchi yenye amani, usalama, upendo na umoja, na ambayo uchumi wake na business opportunities ni nyingi. Tanzania pekee ndiyo yenye sifa zote hizo katika ukanda huu.Swahili plays a major role babaa...Wakenya wengi hawaelewi Kirundi, French au Amhara but Swahili tunaelewa.
Kenya iko mbali ukilinganisha na Tz...we dont share a border and Kenya is tooo fast for Burundians.Mbona Burundi wanatembelea Tanzania kama lugha ndiyo kikwazo cha wao kuja Kenya au Kenya kwenda Burundi?. Uganda wanazungumza English, kwanini msiende kutembelea Uganda?. Kila mtu angependa kutembelea nchi yenye amani, usalama, upendo na umoja, na ambayo uchumi wake na business opportunities ni nyingi. Tanzania pekee ndiyo yenye sifa zote hizo katika ukanda huu.
Vipi kuhusu Uganda?Kenya iko mbali ukilinganisha na Tz...we dont share a border and Kenya is tooo fast for Burundians.
We share a border with them and at least we can communicate in English in fact i have been to Uganda many times, have many friends there and they come to Kenya too.Vipi kuhusu Uganda?
Sasa mbona wengi wa wakenya hawaendi Uganda in large number kama mnavyokuja Tanzania?, na wengi kati ya wakenya wanaokuja Tanzania wanaamua kutorudi Kenya, what is wrong with Kenya?We share a border with them and at least we can communicate in English in fact i have been to Uganda many times, have many friends there and they come to Kenya too.
I told you Tz is a Cheap Country and easy for Kenyans to get money due to their expertise. Shida ya Kenya ni kuwa kila mtu ni pwagu au pwaguzi(kila mtu ni mjanja) but huko kwenu majority ni inexpirienced hence easy to expolit.Sasa mbona wengi wa wakenya hawaendi Uganda in large number kama mnavyokuja Tanzania?, na wengi kati ya wakenya wanaokuja Tanzania wanaamua kutorudi Kenya, what is wrong with Kenya?
Business visa to Tz for kenyans is ksh 5k. Magufuli making a killing..And other visas still chargable..so who is loosing $$ here?I told you Tz is a Cheap Country and easy for Kenyans to get money due to their expertise. Shida ya Kenya ni kuwa kila mtu ni pwagu au pwaguzi(kila mtu ni mjanja) but huko kwenu majority ni inexpirienced hence easy to expolit.