Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakati wakenya wanazunguka huku na kule kutafuta msosi. Hapa Tanzania watu toka nje wanamiminika.

SINEMA ZETU. Muigizaji toka India PREETIKA RAO ameingia kwa kishindo.




naona fan wa Zee-world.....hahaha
 
hahaha ......upanga hata ghorofa 20 ndio hazifiki
Upo serious?acha jokes bana...ziko nyingi sana yaweza kua ndio mahali gap liko hua nashangaa sana mkisema nna real estate yakumshuta mtu
 
Upo serious?acha jokes bana...ziko nyingi sana yaweza kua ndio mahali gap liko hua nashangaa sana mkisema nna real estate yakumshuta mtu
.

I wish I would get some photos of kahawa sukari estate ......hiyo upanga yenu si kitu my friend
 
Hii kampuni nikubwa sana. Wako pia na real estates China. Wanamajengo ya 90 floors mengi. Kuna wa China pia wanashugulikia kibali cha 50 floors skyscraper pale Victoria.
Check out @TheCitizenTZ’s Tweet:
 
A771A4F7-E656-41A9-BEDC-D481A7636E43.jpeg
 
African, Sub Saharan and East Africa hq that are based in Nairobi. Na sijaona the likes of Showmax kwa list. This shoes how Nairobi connects the rest of the region to the world. If that does not shout what capital of EA means then I dont know mate. Now show me one multinational that is hqed in Dar or Arusha or somethingView attachment 731251 View attachment 731252 View attachment 731253
Mtaleta hizo kampuni sana. Lakini mwisho wasiku imewasaidia nini.
Check out @DavidNdii’s Tweet:
 
Kama ni mapesa kupitia wageni you mean foreign investment, Nairobi is ahead of you guys. See, ni hard upate a TZ company in Kenya but huko dar, kenyans invest, Equity, Mwananchi media I guess, KCB, various supermarket etc. There are more foreign firms in Dar than Nairobi. I can name a good number but why bother?
investor yoyote anatafuta sehemu yenye pesa na sisi tunataka investment ili tuongeze ajira kwa vijana kodi ipatikane , money circulation iwe kubwa heheh
 
100 metre road sample ndio zenu.....hamuwezi jenga hata 200 metres yawa
uhahah maumivi once again okota tena picha google ueke useme dar maana nimeona pic ina plate namba sijui za nchi gani nimecheka sana😀😀😀😀
 
Hii kampuni nikubwa sana. Wako pia na real estates China. Wanamajengo ya 90 floors mengi. Kuna wa China pia wanashugulikia kibali cha 50 floors skyscraper pale Victoria.
Check out @TheCitizenTZ’s Tweet:

Wanataka kujenga Dom au Dar?
 
Back
Top Bottom