mwaswast
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 12,781
- 6,481
Am doing Ok Bro just teasing your friends a bit. Failed state is currently doing great and cant complain much.Good morning my brother from failed state
Kenya ranked as 'failed state'
Am doing Ok Bro just teasing your friends a bit. Failed state is currently doing great and cant complain much.Good morning my brother from failed state
Kenya ranked as 'failed state'
kwahiyo hayo sio maendeleo?? Ulaya wenyewe wanaona ni maendeleo sasa wewe wa 4th world unaanzaje kushindana
wewe wa 6th world heri unyamaze tu


ukikaa kenya kwa muda mrefu lazm uugue Maradhi ya Akili, Fanya uende hata hapo South sudan ukabadilishe mandhari..Nilikuambia jana kuwa Nchi inayowatengenezea SGR iko ranked as a Failed state pia.
Ulitaka nije LDC......ukikaa kenya kwa muda mrefu lazm uugue Maradhi ya Akili, Fanya uende hata hapo South sudan ukabadilishe mandhari..
Bora uende nchi yoyote isiyokuwa failed state ukapumzike upate akili mpya.Ulitaka nije LDC......
Tz huwezi kwendaUlitaka nije LDC......

Kuna Anti Kenyans, Utanasia Border


Kweli mkuu.. bei hapo hazi shikiki. Nime kulia kipande hiko, nyumba zilijengwa na NHC. Masela kibao wametoboa na wengine kutapanya baada ya familia kuuza mijengo.Kuna mama mmoja kauza kiwanja chake(nasema kiwanaj kwasababu kulikuwa na nyumba zile za mkoloni) maeneo hayo $6m mwaka juzi.
Ila sikushindi weweYou are just stupid

Ziko wapi jomba..!! Bla bla peleka studio ukatoe singleKua serious, Kisumu,eldoret,Nakuru, Mombasa kunazo
Nchi ipi hyo? Sisi siyo kma nyie, tunajenga SGR kwa pesa zetu. Mkandarasi ametafutwa in a fair process ambayo ina involve kucheck financial status yake. Jaribu ku elimika kidogoNilikuambia jana kuwa Nchi inayowatengenezea SGR iko ranked as a Failed state pia.
Akikuonesha tu nitag 😀😀😀Ziko wapi jomba..!! Bla bla peleka studio ukatoe single
Heti wanajaribu kulinganisha Kenya na Tanzania katika barabara za Lamu, Tanzania mikoa yote ina barabara za lamu, pamoja na kwamba eneo la Tanzania ni mara mbili ya Eneo la Kenya, hawa jamaa wajilinganishe na Somalia au South Sudan katika barabara, Tanzania hapo katika level yao kabisa.lamu yapata barabara yake ya kwanza ya lami baada ya miaka 55 ya uhuru wa kenya.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
View attachment 722078View attachment 722079
NB:
halafu utasikia baadhi muggers na majobless ya nairobi yakiimba wimbo wa "tz ni ldc" wakati kwa miaka 55 ya uhuru wa kenya, baadhi ya maeneo katika counties ndio yamepata barabara ya lami mwaka 2018.
hakika wakenya ni wajinga wa level pinnacle tower.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Tena mpe taarifa kua yapi markezi is top 9 best ailway manufacturer in the world😀😀😀Nchi ipi hyo? Sisi siyo kma nyie, tunajenga SGR kwa pesa zetu. Mkandarasi ametafutwa in a fair process ambayo ina involve kucheck financial status yake. Jaribu ku elimika kidogo